Zuio la Watanzania kwenda Ng’ambo: Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani

Hawa mabeberu waache kuingilia mambo yetu ya ndani, watuachie uhuru wetu.. Wao nani anawaingilie kwenye mambo yao..

USA hatuendi sio lazima, zipo nchi nyingi za kwenda zenye amani kuliko huko USA wanakouana kila siku..
NCHI ZIPI HIZO ZA KWENDA???.Ukiwa blocked USA ina maana na washirika wa USA wanakuwa wameku block pia.
 
Hii hatua ilichelewa sana, hawa watu wa Majua watakuwa wanajua mambo mengi sana yaliyojificha sio bure.

Pompeo! Kuna mengi yanafuatia.

Mkuu amtumbue RC haraka ili kupunguza pressure kwa nchi.
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Watz wanashangilia sababu ya matendo mabaya anayoyatenda makonda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu hangaika na hili kwanza acha kuzunguka mbuyu;
Marekani aliingilia kupigania haki za raia wa nchi hizi
1.) IRAQ
2.) LIBYA
3.) VENEZUELA
unajua nini hizi nchi wanacho in common?, unajua nini kimewatokea? Je, na sisi wanapigania haki zetu sasa? Nini mnataka kitutokee na sisi? Pia Rwanda genocide ya 1994 alifanya nini kutetea haki za binadamu kama alivyofanya kwenye hizo nchi tatu pamoja na sisi anavyotutetea? Saudi Arabi baada ya kumchinja Kashogi Marekani waliendelea kufanya nao biashara na kuwapongeza, unajua kwanini?
Hili si jibu bado

Ukiweka maandishi yasiyohusiana na swali uliloulizwa ni kuonesha kutokuwa muelewa au kuwa mjinga wa kushindwa kujibu swali



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujielewi Ww Wamezuiwa Wa Tanzania wote Kwaajili Ya Upuuzi Wenu Mnae Kaa Kutetea Ujinga

Unakumbuka Alicho Fanya Makonda Clouds
Mbona Unatuchosha Kukumbusha Vitu Unavyo Vijuwa Unakumbuka Roma Alivyo Tekwa Alitoa Kauli Gani Atapatikana Siku Gani Na Akapatika Kweli

Watu Sio Wajinga Hasa Uongozi Wa American Sio Uongozi Wa Lumumba Note that

In short Kazuiwa Atatangatanga Hapa hapa Dsm
Kwahiyo hao CIA ndio wamagundua kuwa Makonda ndio mvunjaji wa haki za binadamu huku???

Unadhani haya madai Kama ni kweli wangeanza na mkuu wa mkoa??

Shirikisha akili yako tu kidogo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahaha...mkuu hebu wacha ulofa basi hata kwa dakika moja...duh!
Sio ulofa. Huyo ni mwanamme anaye disa. Mwanaume Rijali haofii kifo. Mashoga kama wewe ndiyo malofa. Utaachaje kuulinda utu wako na ule wa wananchi wako eti kwa sababu ya kuogopa kifo. Kifo ni kifo tu. Uanguke na ndege, upate ajali ya gari, ufe kwa sababu ya maradhi ya ukimwi au wakati unautetea utu wako. Kifo ni kifo tu.

Nikifa kwa ajili ya kutetea maslahi na utu wangu mbona ni thawabu kwa mungu. Kuna kifo kizuri kama hicho?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona huelewi nachosema.... Marekani anatumia fitna kma hizo za World war kwa nchi KUBWA sio MASKINI na ombaomba kama Tanzania.

Marekani anauwezo wa kupandikiza virusi kwenye ARV anazoleta ili kutumaliza, ana uwezo wa kupandikiza Ebola bila haja ya kutuzushia, sababu afterall tunategemea misaada ya madawa cjui vitabu kutola huko.

Kuhusu kutochanganisha hahitaji, si ananyima tu mikopo na kuweka vikwazo vya uchumi mpaka magufuli ajiuzulu!! Sasa why azunguke cjui Lisu au kuzusha Ebola wakati anaweza ziba tu mirija kutumaliza!!

Ni kweli tunaweza kuwa na uchungu kwa nchi yetu kuliko wageni ila hata Nyerere alienda kusaidia mataifa yapate uhuru, ina maana hawakuwa na uchungu na nchi zao kuliko Nyerere??
Hahaha,
Hivi unaongea kama upo Tz au unaishi Switzerland , Denmark
Mm sipingani naww kuhusu siasa wala Democrasia
Ninachopingana na ww ni kitendo cha Watanzania kuhitaji Mmarekani angilie kati kwa kuhisi Mmarekani ni babayao hivi et atawaonenea huruma.
Wakati hanaga historia ya hvyo wala hawezi kuja kupandikiza Tz hicho kirusi au kupigana na wa Tz ni Aibu kwake Izo biological techniques ni kwaajir ya nchi zinazotoshana naye , Nchi kama China hv n.k
What if ni kwamba Mmarekani anawaingilia katika vichwa hili Tuone Tanzania it's not self country tuanze kuuana wenyewe yeye akitufund msaada .

Wakati yeye akisign na kuingia kikataba.

Hebu jaribu kuuliza Mwanjeshi aliyeenda kulinda Amani congo, Libya muulize akupe jibu kama Mmarekani alishawai kuwa na historia ya Usamalia mwema au UN .
Kuna sehemu Wanajeshi wa Tz Walienda kulinda Amani wakaambiwa huruhusiwi kuumua Ghaidi Bila ruhusa, cha ajabu siraha walizonazo ndo the same na za maadui sasa jiulize hizo silaha kawapa nani na wako polini. Hebu Mtafute Mtu wa West Africa akupe story za huyo jam a a.
Huzioni Nchi nyingi zina mkataa, hivi Waingereza, Russia, Germany hawaoni Mpaka yeye tu ndo anaona sana?

We nye we hawaoni raha tunavyoishi pamoja as family ingawa ni different tribes na Religions do you think nje watu wanaishi hvyo. ?

They what kutufukunyua tuuane kidg?
Au unahisi Nyerere alivyo wakataa Alikuwa Mjinga Ur smart than him.

Ki2 unachokisahau kila effect itakayotokea in Tz Ur will affected direct or indirect


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Mavi ya Bashite.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwajua wengine ni Hekima, kujijua mwenyewe ni maarifa makubwa. Hekima na maarifa ukivitenganisha ni sawa na kuwa na ulemavu wa viungo vya mwili kama mikono, miguu, macho, masikio nk.

Tanzania katika kushughulikia hili la kutengwa na Marekani, tutumie Hekima na Maarifa katika kufikia maamuzi. Tuwashirikishe wazee, viongozi wa Dini na Mataifa mengine marafiki katika kutupa ushauri.

Tusikurupuke na kuanza kushambulia. Tujitahidi kuandika kitu ambacho kinafaa kuandikwa.

Tukileta mashara yanaweza yakatukuta yaliyompata Libya kwa mataifa makubwa kugeuza Inchi yetu kuwa uwanja wa vita. Kwa Libya ilianza hivi hivi kama masihara baadaye ikawa kitu mbaya kabisa.

Ni kweli watu weupe hawafurahishwi na mikakati yetu mizuri ya Kiuchumi kwa sababu inawabana kuipora Tanzania raslimali zake.

Hii inawafanya kutafuta kisingizio cha kutuchokoza ili tuingie vitani. Kumbuka Vita ya Kagera, ile ilitengenezwa kwa sababu ya Sera za Mwalimu Nyerere kuzuia watu wa nje kupora Raslimali za Inchi hii. Tulipopigana na Uganda tuliadhirika sana kiuchumi na hadi leo majeraha hayo hayajapona kabisa.
 
zitto junior, Warwanda ni Smart on brain,
Kama ulishawai kukaa na kufanya kazi na Rwandanian hawawezi kufanya huu ujinga et kutoka kwenda Marekani kuomba Mmarekani walete Matatizo nchini kwao.

Hakuna dictecta kama Kagame halafu anauwa Bila kuficha ila they tries to solves their problems themselves instead ya kuwaalika Wageni do you know why?
Walishapata joto la jiwe 1994 they know ,
And they can't repeat the same mistakes.

US ni Aibu kupigana au kujibizana na Tz bali ni kupandikiza chuki tuuane sisi wenyewe , Don't be fool you guys ni sawa ukamwadisie Rafiki yako Matatizo ya mumeo / Mkeo atajifanya Mshauri ila akitoka hapo atatangaza Mtaa mzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Lumumba pamewaka moto leo, bila shaka mlikesha na posho ya leo ni buku 20, mlivyochachamaa kwenye social media! Ila kuna kiongozi wenu mmoja alisema juzi tu hapa kuwa kauli za hovyo na vitisho za JPM ni namna tu ya kufanya siasa. Sasa kwanini msichukulie yanayoendelea upande wa pili pia ni namna yao ya kufanya siasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

kingereza kinawasumbua watu wengi sana aisee.
 
Back
Top Bottom