Zuio la Watanzania kwenda Ng’ambo: Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani

Hatua hiyo inakuja saa chache baada ya serikali ya Trump kumpiga marufuku mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingia nchini humo.

Bahati nasibu hiyo hutoa viza kwa watu takribani 50,000 kutoka nchi zenye kasi ndogo ya maendeleo kila mwaka kuingia na kufanya kazi Marekani.

Nchi ya Sudani pia raia wake wamepigwa marufuku kuingia katika bahati nasibu hiyo.

Wakati huo huo raia wa nchi nne ikiwemo mbili za Afrika Nigeria na Eritrea wamepigwa marufuku kabisa kuomba viza za kuhamia Marekani.

Marufuku hiyo pia itazihusisha nchi za Myanmar na Kyryzstan.

Hata hivyo raia wa nchi hizo ambao watataka kuingia Marekani kwa kutalii ama biashara wataruhusiwa.
Je Watanzania watakufa kwa kutoenda Marekani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nkrumah yalimkuta hivihivi, sababu ya kiburi chake nchi ilibanwa na marekani mpaka wanajeshi wakacheleweshewa mishahara wakampindua.
 
Walitukosa kwenye Tishio la Ugaidi, wakatukosa kwenye Ebola, nikaonya juu ya amani yetu na hasa uhaguzi wa 2020, sasa ndiko wanakoelekea.

Ukiona hatua kama hizo na hasa Marekani wakija na kete ya demokrasia na haki za binadamu, ujue wanelenga kuvuruga Taifa flani, mifano ipo mingi tu.

Tuwe makini mno hasa uhaguzi mwaka huu, tuepuke balaa ambalo hawa watu wanataka kutuletea.
Si juzi tu mlikua mnapiga magoti mpewe ela au sio nyie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe huwa unafikiri kwa kutumia nini mkuu?? na usiseme ubongo

Tambua Hicho ni kionj'o tu kwa kuwekewa mchuvi mkononi uonje kama chumvi imetosha au iongezwe

Pamoja na mambo mengine, Pompeo amesema Marekani ina USHAHIDI kuwa Makonda ameshiriki KUDHULUMU HAKI YA KUISHI KWA WATU KADHAA. Hii ni kauli ngumu sana, inayotafakarisha sana.

Sasa wewe mswala ya Taifa unaleta mihemko ya kichama hapa

Vikwazo vikianza hapa tutako umia ni sisi CHAKATIMBE ambao katika maisha Bado tunajitafuta

Unasema China kwahiyo China ndiyo watakao kubali huo upuuzi



Kiukweli hawa mabeberu Wamarekani ni washenzi sana!, Wanamuonea bure Makonda tena kwasababu safari za Makonda US ni safari binafsi za yale mambo ya kifamilia, kumzuia Makonda kuingia US ni ukiukwaji wa haki ya msingi ya binaadamu.

Wito kwa Rais Magufuli, toa waraka hakuna kiongozi yoyote wa serikali yako ataomba Visa kuingia US, wanataka kutudhalilisha tuu, kwani Marekani ndio nini?. Twende China!.
To hell with America!.
Let's say no to American with their filthy blood stained, stinking money except " kwa msaada wa watu wa Marekani" zikiwemo ARV.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hawa jamaa ni wanamikakati huwa hawakosei,wakiamua kukuangusha utaanguka tu,,ni suala la muda tu
 
Nakumbuka Rais Mstafu Jakaya Kikwete alishawahisema ukitaka Dunia ikuone we ni mtu mzuri au Nchi yako nzuri Marekani akuseme kwa mema na Ukitaka Dunia ikuone we mbaya Mmarekani akunyoshee kidole kwa kukusema vibaya

Sasa naona kama baada ya uchaguzi Tunaelekea Zibwabwe andazi tutalinunua kwa 10k

Na kama ilivyo Ada vibaraka wa Marekani kama Uengereza Ufaransa Ujeruman Canada Israel Australia n.k lazima wafate na hii wameanza na Matawi bado shina.

Tujitathimi sana viongizi tulio wapa lungu msije kutupa shida kubwa sisi na vizazivyetu. Mfano Zibwabwe kama nchi bado ipo lakini Mugabe kama kiongozi Hayupo lakini angalia wanao umia ni akina nani???

Mnapofanya maamuzi msikurupuke

Sent using Jamii Forums mobile app
Keng* kasoro mkia wewe badala ulaumu vibaraka wa mabeberu unalaumu selikali. Hivi unadhani hao viongozi wataumia au ni walala hoi kama wewe mtaumia

God save us
 
Walitukosa kwenye Tishio la Ugaidi, wakatukosa kwenye Ebola, nikaonya juu ya amani yetu na hasa uhaguzi wa 2020, sasa ndiko wanakoelekea.

Ukiona hatua kama hizo na hasa Marekani wakija na kete ya demokrasia na haki za binadamu, ujue wanelenga kuvuruga Taifa flani, mifano ipo mingi tu.

Tuwe makini mno hasa uhaguzi mwaka huu, tuepuke balaa ambalo hawa watu wanataka kutuletea.
Usijali, jana wamelipa jeshi letu msaada wa kijeshi tena wametupatia vifaa vya kisasa
 
Tutamuunga mkono sisi wanyonge. Kwani wafanyabiashara gani wanamuunga mkono JPM?
Punguza basi ujinga. Unadhani kampeni na uchaguzi huitaji pesa eeh???

Samahani kwani una kiwango gani cha elimu?
 
Safi sasa saizi marekani mtakua mnaihika kuisikia tu kama pepo
 
Back
Top Bottom