Zuio la Watanzania kwenda Ng’ambo: Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani

Hatuwezi kukutana nao ICC kwa sababu Amerika sio mwanachama. Wanahofia marais wao kushtakiwa huko. Wanajua Marais wao wanatembea na damu za wanaulimwengu walio waua.

Ndiyo wanamtafuta Rais wetu, Rais Magufuli. Viongozi wote wa nchi zote za Maghari zinamwofia Rais Magufuli. TV zote za kimataifa siku hizi hazitaji jinalake wala hawayasemei maendeleo yanayotokea Tanzania. Wako kimyaa! Wana sikilizia.

Maajabu anayo yafanya Magufuli wazungu wanayahofia sana, kwani Tanzania ikifanikiwa tu nchi nyingi za Afrika zitataka kufanya kama Tanzania na hapo ndipo utakuwa mwisho wao.

Rais Magufuli usiende nje mpaka SGR na Nyerere Dam zimemalizika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa pamoja na maajabu hayo, nani alimwambia kuwa ili maajabu yatokee ni lazima awafanye watu kuwa watumwa wake!!?
 
View attachment 1342730
View attachment 1342609
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609


Aaaah mwanadamu mwanadamu tu ushoga ni NO! Again NO! Ila mbinguni tunaenda.


Sent from Gnet Phone using JamiiForums
 
Nakumbuka Rais Mstafu Jakaya Kikwete alishawahisema ukitaka Dunia ikuone we ni mtu mzuri au Nchi yako nzuri Marekani akuseme kwa mema na Ukitaka Dunia ikuone we mbaya Mmarekani akunyoshee kidole kwa kukusema vibaya

Sasa naona kama baada ya uchaguzi Tunaelekea Zibwabwe andazi tutalinunua kwa 10k

Na kama ilivyo Ada vibaraka wa Marekani kama Uengereza Ufaransa Ujeruman Canada Israel Australia n.k lazima wafate na hii wameanza na Matawi bado shina.

Tujitathimi sana viongizi tulio wapa lungu msije kutupa shida kubwa sisi na vizazivyetu. Mfano Zibwabwe kama nchi bado ipo lakini Mugabe kama kiongozi Hayupo lakini angalia wanao umia ni akina nani???

Mnapofanya maamuzi msikurupuke
View attachment 1342730
View attachment 1342609
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalam..tueleweshane kidogo. Nimepitia baadhi ya comments za hii post nimepata maswali kadhaa.

P Makonda kuzuiliwa kwenda US ina ina impact kwa TZ kama nchi au kwa Paul himself?

Kwa WaTZ wanao support hio adhabu ya mtu alie temper na huma rights.. wakitaja uonevu..kuminya democracy etc (as guesses maana pompeo hajawa specific), "wako tayari hayo yanayoshutumiwa kufanyika yawe rectified plus other things kama gay & lesbian rights ziwe practiced in TZ?.."

Maana kwao US human rights sio kuruhusu democracy tu.. sijui uhuru wa kujieleza.. kwao it also comes with rights to be anything you want.. including gay and lesbian.

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hapo
IMG_20200201_001123.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye tunakwenda kuwa Taifa linaloruhusu Ushoga na kuibiwa rasilimali zetu kama kawaida.

Wapinzani wakiongozwa na ZitoKabwe, Maria Sarungi na Fatma Karume ndio waasisi wa Taifa jipya lenye kuruhusu ushoga na utumwa wa kuibiwa Rasilimali na mabeberu.
Hakuna anayelazimishwa kuwa shoga lakini pia tusiwalazimishe watu kufanya vile tupendavyo sisi. Kama mtu ameamua kutumia kiungo chake kwa namna anavyoona yeye (bila kuathiri uhuru wa wengine) basi tumuache afanye maana kama ni athari atabakinazo mwenyewe. Tujifunze kuheshimu uhuru na faragha za wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
136487904bd212e3cb747ccb6a0435e06a9c01db.jpg
_73834336_go.jpg

Charles ble Goude zama za ubabe wake chini ya Raisi mbabe Laurent Bagbo
Laurent-Gbagbo-and-Charles-Ble-Goude.jpg

Raisi mbabe Laurent Bagbo na Kijana wake Charles ble Goude wakiwa kizimbani ICJ kujibu mashtaka ya mauwaji Nchi Ivory coast

Picha hii inajirudia katika taifa hili la pwani ya Afrika mashariki.yaani hapahapa nyumbani
 
Hatua hiyo inakuja saa chache baada ya serikali ya Trump kumpiga marufuku mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingia nchini humo.

Bahati nasibu hiyo hutoa viza kwa watu takribani 50,000 kutoka nchi zenye kasi ndogo ya maendeleo kila mwaka kuingia na kufanya kazi Marekani.

Nchi ya Sudani pia raia wake wamepigwa marufuku kuingia katika bahati nasibu hiyo.

Wakati huo huo raia wa nchi nne ikiwemo mbili za Afrika Nigeria na Eritrea wamepigwa marufuku kabisa kuomba viza za kuhamia Marekani.

Marufuku hiyo pia itazihusisha nchi za Myanmar na Kyryzstan.

Hata hivyo raia wa nchi hizo ambao watataka kuingia Marekani kwa kutalii ama biashara wataruhusiwa.
 
Kama alivyorudishwa Hans Pop kiaina, kuna watu ukiwa nao mbali ndio wanakuwa wabaya zaidi kuliko ukiwa nao karibu, maana nirahisi kuchunguza nyendo zao.
Nadhani Lissu angeruhusiwa kurudi akae humuhumu wajibizane, anavyokaa nje nadhani anakuwa hatari zaidi kwa Taifa, bora arudi tu wamuache afanye siasa zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi naona wanaanza kuwatolea macho mafundi simu. Mtu ana kimeza chake kama kidawati cha shule msingi yupo mbele ya duka la mtu alipe kodi. Hali ni mbaya sana. Makonda nakumbuka alimuabisha sana yule mama mwenyekiti nafikiri. Mwingine mkuu wa mkoa anaenda kuchapa wanafunzi. Ndiyo ajue duniani kuna watu wakubwa zaidi yake
Kesho itatafutwa bonge ya kiki ili kuipotezea hii inshu ya Konda boy,usishangae hata kusikia ametangaza kuongeza wafanyakazi mishahara wkt anajua mpunga ni kushnehiiiiii hahah.

dodge
 
Niliona majuzi mafundi simu Arusha wanaambiwa hizo mambo,majuzi RC wa Moro kawaweka ndani walimu kisa matokeo ya shule zao hayajakaa vzr.

Nadhani wataanza kuelewa duniani hii ina wababe wake mkuu.



Sasa hivi naona wanaanza kuwatolea macho mafundi simu. Mtu ana kimeza chake kama kidawati cha shule msingi yupo mbele ya duka la mtu lipe kodi. Hali ni mbaya sana. Makonda nakumbuka alimuabisha sana yule mama mwenyekiti nafikiri. Mwingine mkuu wa mkoa anaenda kuchapa wanafunzi. Ndiyo ajue duniani kuna watu wakubwa zaidi yake



dodge
 
View attachment 1342730
View attachment 1342609
Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.
Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.
Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.
Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.
Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.
View attachment 1342609

Nina wasiwasi na tarifa hii sababu ninavyojua taarifa kuzuiwa mtu kuingia Marekani hazitangazwi bali inakuwa ni kati ya mhusika na serekali ya Marekani, kuna mwaka pale Kenya kuna viongozi walizuiwa kwenda Marekani lakini hawakutangazwa na pale waandishi wa habari walipododosa ubalozi ukasema taarifa ni siri kati ya mhusika na ubalozi,sasa ya kutangaza hadharani inanitia shaka kama hii habari ni ya kweli labda taratibu zibedirika kwenye utawala wa Trump
 
Walitukosa kwenye Tishio la Ugaidi, wakatukosa kwenye Ebola, nikaonya juu ya amani yetu na hasa uhaguzi wa 2020, sasa ndiko wanakoelekea.

Ukiona hatua kama hizo na hasa Marekani wakija na kete ya demokrasia na haki za binadamu, ujue wanelenga kuvuruga Taifa flani, mifano ipo mingi tu.

Tuwe makini mno hasa uhaguzi mwaka huu, tuepuke balaa ambalo hawa watu wanataka kutuletea.
 
133 Reactions
Reply
Back
Top Bottom