jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,842
Hamna alieondoka kwenye hoja ya Makonda, Mwamposa kasababisha vifo 20 either kwa kujua au kutokujua I don't kno, but Bashite inawezekana kabisa kaondoa roho zaidi ya hizo 20 huko vichochoroni, jamaa halifai kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app