Zuio la Watanzania kwenda Ng’ambo: Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani

Hamna alieondoka kwenye hoja ya Makonda, Mwamposa kasababisha vifo 20 either kwa kujua au kutokujua I don't kno, but Bashite inawezekana kabisa kaondoa roho zaidi ya hizo 20 huko vichochoroni, jamaa halifai kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyewadanganya kuwa Paul Makonda ' atatumbuliwa ' hapo kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni nani? Mnajisumbua bure!
Haitasaidia chochote kumtetea huyo wakala wa shetani, aondolewe au asiondolewe sio issue, la muhimu sasa ulimwengu mzima unajua huyo Makonda ni vampire, linatoa roho za watu ndio maana linazidi kunenepeana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unafikiri USA wanaropoka bila ushahidi. Serikal ya Tz haiwezi fanya ilo jaribio la kujishambulia. Mmarekani kila data anazo. Anasubiri tu right time afanye mambo yake. Tena akichokonolewa anaweza toa mpaka ya magufuli. Apo wamempa trailer tu. Maguful is next.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona unakuwa mgeni duniani.
Rais sio waziri wao amewahi kumsingizia Sadam kumiliki manuclear.

Naomba ushahidi, kama waliwahi kudanganya Dunia wanashindwaje kudanganya wabongo.

Wawapelekee watu wetu wa usalama huo ushahidi ili Makonda asaidiwe kama kweli.
 
69C5ABC9-FB1D-4B8C-8EBE-79C73B7BC5A6.jpeg
 
Mtanyooka tuu Nipo hapa Sweden nakula maisha tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Sweden uko kama "DIASPORA" au kama "MLOWEZI"? Niliwahi kuuliza swali hili humu JF kwa ujumla tu lakini sikupata jibu, labda wewe kama mhusika mkuu utaweza kunsaidia ili nielewe tofauti ya DIASPORA NA WALOWEZI. Asante and sorry if it is bothering or it will bother you or anybody else.
 
Huko Sweden uko kama "DIASPORA" au kama "MLOWEZI"? Niliwahi kuuliza swali hili humu JF kwa ujumla tu lakini sikupata jibu, labda wewe kama mhusika mkuu utaweza kunsaidia ili nielewe tofauti ya DIASPORA NA WALOWEZI. Asante and sorry if it is bothering or it will bother you or anybody else.
Diaspora
Vp kunatatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diaspora
Vp kunatatizo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna tatizo, ila nilitaka kujua tu, kwani kuna wengine wakitoka nchi nyingine siku hizi na kutaka kuingia Ulaya au USA wanaitwa wakimbizi au walowezi au wahamiaji haramu. Hapo ndio kwenye mkanganyiko, wengine Diaspora, wengine kama wahamiaji haramu, wengine wakimbizi, wengine walowezi basi shida moja kwa mbili. Hebu nisaidieni na hata wataalamu wa Kswahili pale BAKITA zungumzieni hili!
 
Hao mabeberu nyuma ya vivuli vya demokrasia.

Tumeona namna walivyoipa demokrasia Libya na Iraq, pia Afghanistan, hatutaki demokrasia yao wabaki nayo.
Labda ni demokrasia pia unajua hizi democrasia ziko nyingi inategema wewe unachagua ipi?
 
View attachment 1342730

View attachment 1342925

Serikali ya Marekani imemzuia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingi nchini humo kutokana na kuhusika kwake kwenye uvunjifu wa Haki za Binadamu unaohusisha kunyima haki ya kuishi, uhuru na ulinzi wa watu.

Katika uongozi wake, Makonda ameonesha uonevu kwa wapinzani, kuminya uhuru wa kujieleza na kukusanyika na matendo maovu dhidi ya makundi maalum.

Marekani ina hofu kuhusu uvunjifu wa Haki za Binadamu na kupuuzwa kwa utawala wa sheria nchini Tanzania.

Kifungu namba 7031(c) kinampa uwezo Waziri wa Mambo ya nje kuweka zuio kama hili endapo mhusika amefanya ufisadi mkubwa au uvunjifu wa Haki za Binadamu. Pia kinamruhusu kuweka zuio kwa familia yake hivyo mke wa Makonda, Bi. Mary Felix Massenge amezuiwa pia.

Serikali ya Marekani inaikumbusha Serikali ya Tanzania kuheshimu utawala wa Sheria na Haki za Binadamu ikiwemo uhuru wa kujieleza na kukusanyika.



==========


The Department of State is publicly designating Paul Christian Makonda under Section 7031(c) of the FY 2020 Department of State, Foreign Operations, and Related Programs Appropriations Act due to his involvement in gross violations of human rights, which include the flagrant denial of the right to life, liberty, or the security of persons. Specifically, the Department has credible information that Makonda was involved in such violations in his capacity as the Regional Commissioner of Dar es Salaam. In that role, he has also been implicated in oppression of the political opposition, crackdowns on freedom of expression and association, and the targeting of marginalized individuals.

The United States remains deeply concerned over deteriorating respect for human rights and rule of law in Tanzania. This includes actions taken by the government that curtail freedom of expression, freedom of association, and right of peaceful assembly; target marginalized people and the political opposition; and jeopardize life.

Section 7031(c) provides that, in cases where the Secretary of State has credible information that foreign officials have been involved in significant corruption or a gross violation of human rights, those individuals and their immediate family members are ineligible for entry into the United States. The law also requires the Secretary of State to publicly or privately designate such officials and their immediate family members. In addition to the public designation of Paul Christian Makonda, the Department is also publicly designating his spouse, Mary Felix Massenge.

These actions against Paul Christian Makonda underscore our concern with human rights violations and abuses in Tanzania, as well as our support for accountability for those who engage in such violations and abuses. We call on the Tanzanian government to respect human rights and fundamental freedoms, including the freedom of expression, association, and the right of peaceful assembly.


SOURCE: Public Designation, Due to Gross Violations of Human Rights, of Paul Christian Makonda of Tanzania - United States Department of State

Sasa kama kuna kitu unahitaji huko USA je akituma mtu amuchukulie nayeye atabanwa? Basi kama yeye kazuiliwa atume watu wamuchukulie vitu anavyohitaji.
 
Sasa kama kuna kitu unahitaji huko USA je akituma mtu amuchukulie nayeye atabanwa? Basi kama yeye kazuiliwa atume watu wamuchukulie vitu anavyohitaji.
Sawa Kikiwo, hivi kuna kitu gani kinapatikana USA pekee. Kila kitu kinapatikana popote. Waacheni wa USA wakae na USA yao. The world is every where siku hizi!
 
Sawa Kikiwo, hivi kuna kitu gani kinapatikana USA pekee. Kila kitu kinapatikana popote. Waacheni wa USA wakae na USA yao. The world is every where siku hizi!
Nchi ambayo kila mwanadamu angependa azuru pamoja na wewe ni Marekani, sema umasikini ndio kizingiti.

Unafahamu kwa mwaka moja wana-process Visa application ngapi, zaidi ya milioni 70, by far the largest in the world. Sasa unafikiri woote hao wanaoomba hiyo Visa ni wajinga kwa nini woote hao wasiombe ya Tanzania au Burundi.

Kama una thinking capacity ndogo ni vigumu sana kuelewa haya mambo. Viongozi wa kiserikali wanapopigwa BAN kuingia Marekani ina both political and economic implication mbaya sana na ndiyo maana mataifa wahanga wa hii sheria hulia sana, "They know how adverse it's implications are".
 
Back
Top Bottom