Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Hilo siyo ajabu kabisa. Ajabu ni pale wananchi wamekamata mwizi na kumtaka aziache mali alizoiba lakini badala yake Polisi wanaingilia kati na kuanza kuwakamata wananchi kwa sababu eti wamefanya vurugu.Yaani ni ajabu sana. Mwanasheria mzima anajibu majibu mepesi hivyo?!