USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,663
Uginjwa huu kwa sasa unatajwa kuuwa watu watatu na tayari umeikumba Japan, Thailand na unaenea kwa kasi duniani na kuzua hofu
UK imechukua hatua tayari na huenda ulaya nzima ikachukua hadhari kujilinda huku uchina ikionekana kudanganya takwimu za wagonjwa
Tanzania kama mdau mkubwa na China na hutembelewa na wageni wengi wa kichina katika afrika tunayo haja ya kujilinda
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
UK imechukua hatua tayari na huenda ulaya nzima ikachukua hadhari kujilinda huku uchina ikionekana kudanganya takwimu za wagonjwa
Tanzania kama mdau mkubwa na China na hutembelewa na wageni wengi wa kichina katika afrika tunayo haja ya kujilinda
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app