Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 3,883
- 3,802
Kabudi anaingiaje hapa?
ama alikupiga na kitu kizito kwa nyuma!!
Kabudi anaingiaje hapa?
ama alikupiga na kitu kizito kwa nyuma!!
Alikuwa mkurugenzi kwa upande wa radioIla sikumbuki kama Hilary alikuwa mkurugenzi mkuu
Ajirekebishe kwani ccm ni Mungu? Pelekeni vitisho vyenu kule mumian nyie.tatizo anaiponda Sana CCM kwenye taarifa zake, ajirekebishe
Tido ni mtendaji mkuu(CEO)Tido Mhando ni Mkurugenzi wa AZAM MEDIA. Azam Tv na Redio zina wakurugenzi wao tofauti.
Nani huyo mkuu? Fafanuaaaa...........
Asante kwa taarifa....ngoja tukapambaneYupo single huyo bibi na hana mtoto, kwahyo changamkieni fursa
Mkurugenzi wa Azam media ni Thido Mhando.Aliyekuwa mtangazaji nguli wa BBC Swahili, Bi Zuhra Yunus ametundika daruga za utangazaji wa BBC tangu Ijumaa tarehe 14/01/2022 na kuhamia rasmi Azam TV kama Mkurugenzi mpya kuchukua nafasi ya Charles Hillary aliyeteuliwa na Rais Hussein Mwinyi wa Zanzibar kuwa Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano Ikulu. Zuhra ameondoka BBC baada ya kuitumikia idhaa hiyo kwa kipindi cha miaka 14. Tukumbuke kwamba Charles Hillary naye alitokea BBC kabla ya kuja Azam TV. Karibu nyumbani Bi Zuhra.
View attachment 2082904
Katika kazi zake za uandishi wa habari na utangazaji akiwa BBC, Zuhra amewahi kuwahoji watu mashuhuri wakiwemo marais, wasanii na wanasiasa mbalimbali. Mmojawapo wa wanasiasa waliowahi kuhojiwa naye ni aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Profesa Paramagamba Kabudi (a.k.a Profesa Majalala) kama unavyoweza kumsikia kwenye kipande cha mahojiano hapo chini.
View attachment 2082902
MAONI YANGU
Binafsi namkubali sana mtangazaji huyu nguli kutoka anga za Tanzania na ninamjivunia sio tu kwa kuwa ni mtanzania mwenzangu bali kwa sababu ya kazi yake ya utangazaji iliyotukuka. Kwa kweli ameipeperusha vema bendera ya Tanzania. Ni nadra sana kumpata mtangazaji mwenye karba ya Zuhra hapa nchini.
Nawasilisha.
Ulitakiwa uandike ninavyojua chazi alikua ni ........Nimesoma coment zote sijaona mtu wa kumuelewesha mtoa mada
Iv Chaz hilary alikuwa mkurugenz? Mm navyofaham Mkurugenz wa Azam ni Tido Mhando
Navyojua Chalz Hirary hakuwa mkurugenz
Kwani ujui lesbian ni watu ganiKwanini hataki kuolewa wala kuzaa? ana tatizo gani? hilo ndio swali langu pendwa kwake
Takataka za zenji zirudi zenji naunga mkono hojaHuyu nae arudi Zenj akapate Teuzi
Tuulizeni sisi tunaojua mambo .....huyo ni lesbian nguli
LesbianKwanini hataki kuolewa wala kuzaa? ana tatizo gani? hilo ndio swali langu pendwa kwake
Pia umesahau kuwa ambia wafanyakazi wa kike azam wajiandae kusagwa na kusaganaVizuri Azam kumchukua huyu mama atawasaidia sana kuikuza sekta ya Habari pale Azam media