Ukiona humuelewi ujue nyimbo zake hazikuhusuHamna kitu huyo.....Huyo Zuchu bado sijaelewa kama anaimba kaswida au bongo fleva
Anataka kila nyimbo aikubali Kwanza yeye ndo wengine tuione kali!Acha kutukana watu, wewe kama unapenda hiphop basi utakuwa mvuta bangi, mtumia madawa ya kulevya, mwendawazimu, tahira kidogo, mnywa gongo na machimpumu!! Usitake kuchagulia watu nyimbo za kusikiliza !!
Kwa hyo ww umeipenda aliotupondea wapinzaniTofauti na ile hit song yake ya "wapinzani watetereke" ameimba nyimbo gani nyingine??
Mbona utunzi wa zuchu na rayvanny ni tofauti kabisa kakaKama hujui mtunzi pale ni rayvan anawatungia wote asilimia kubwa hilo aliongea salam sk
Afu kamekaa mimgegedo Sanaa mkuu au mi tamaa zangu tu?Haka katoto mimi nyimbo zake karibu zote nazipenda.
naanzaje kupenda huo ugoro?Kwa hyo ww umeipenda aliotupondea wapinzani
Aaaaaahhh wew usipazimishe mtu usie muelewa ww na wengine tusimueleweee..........Kama kuna msanii wa kufukuza WCB ni RAYVAN
Nenda tena kasome, ndio urudi hapaHuo mdomo uliumbwa na nani?
لِكُمُ اللّٰهُ رَبُّكُمۡۚ لَاۤ اِلٰهَ اِلَّا هُوَۚ خَالِقُ كُلِّ شَىۡءٍ فَاعۡبُدُوۡهُۚ وَهُوَ عَلٰى كُلِّ شَىۡءٍ وَّكِيۡلٌ
(6:102) Such is Allah, your Lord. There is no god but He - the Creator of all things. Serve Him alone - for it is He Who is the guardian of everything.
Haya nimerudiNenda tena kasome, ndio urudi hapa
Letaaa tena hoja yako nijue umeelewa nini?Haya nimerudi
soma tena huko juu,halafu urudi hapaLetaaa tena hoja yako nijue umeelewa nini?
Mimi nasubir ulichojifunza baada ya kusoma tenasoma tena huko juu,halafu urudi hapa
Hakuna lolote promo tu ndo zinambeba mtu anaimba nyimbo zote kama taarabu afu mnasema habebwi....diamond kala hasara kwa zuchu hamna la maana alilofanya bora angemchukua RUBY anajua kuimba sana ni vile hajapata tu CONNECTION YA KUELEWEKAMwanzoni kabisa sikumuelewa kabisa nikiamini lebo ya wasafi inambeba
lakini kadri siku zinavyozidi kwenda naona kuna kipaji kikubwa na sauti ya kipekee yenye mahadhi ya kimwambao
Toka majuzi nasikiliza nyimbo mbili tu.....wa nandi NIBAKISHIE na wa zuchu NUMBER ONE
Nampenda sana Nandy lakini kwa Zuchu nimemuelewa zaidi kwenye huu wimbo
Anacho nifurahisha zaidi anamashairi flani hivi amazing na ninataarifiwa anatunga mwenyewe
Just like me naona afadhali wangemchukua RUBYNisiwe muongo,mimi binafsi simuelewi
Sasa wewe unaanzaj kusema diamond kala hasara kwa zuchu while zuchu ktk mauzo ya nyimbo, na views tangia kaanza game yuku juu kushinda RUBY unaemtaja hapaHakuna lolote promo tu ndo zinambeba mtu anaimba nyimbo zote kama taarabu afu mnasema habebwi....diamond kala hasara kwa zuchu hamna la maana alilofanya bora angemchukua RUBY anajua kuimba sana ni vile hajapata tu CONNECTION YA KUELEWEKA
Ruby ana sauti ila ni mbovu wa mashairi , pili sio fighter , tatu nidhamu mbovu , ungesema angalau maua Sama.... WCB wanataka mtu fresh ambaye wataweza kumcontrol , hawa wengine washasikika wanavunga wanajua , dk mbili Tu utasikia kakimbilia Media pinzani kusema ananyonywa, mara anatumikishwa na blah blah kibao refer Mavoko ....Hakuna lolote promo tu ndo zinambeba mtu anaimba nyimbo zote kama taarabu afu mnasema habebwi....diamond kala hasara kwa zuchu hamna la maana alilofanya bora angemchukua RUBY anajua kuimba sana ni vile hajapata tu CONNECTION YA KUELEWEKA