Halafu Kanye ni Psychiatric case.
Anadesign madabwada wafuasi wake wanadhani ni fashion, kumbe mwenzao ni MWEHU
kiatu kama stafeli cha nini sasa!
Halafu Kanye ni Psychiatric case.
Anadesign madabwada wafuasi wake wanadhani ni fashion, kumbe mwenzao ni MWEHU
We sema tu wasanii wanataka vitu exceptional- Hicho kiatu labda kama ina injini nitanunua mimiMmh mkuu hapo juu kasema dola 75! Ila hata hivo naiona kubwa kwa kiatu gani hicho kama gari Hiace au Noah vibayaa! Sijui ni wivu huu😀
Viatu kama hivyo huwa vinategemea na quality yake na kila quality ina bei yake vyote viko au vinakuwa sawa kimuonekano . Mfano wa van's shoes officials store yao na other store
Mbona kaajiriwa ToT, CCM wanatoa msharaha mdogo au ndivyo alivyo.mama yake ni ombaomba kwenye maofisi ya serikali
Kazi za TOT hadi kipindi cha kampeni..afu ulizia mishahara ya ccm ndio utajua,unadhani mzee baba kampa Polepole ubunge kwa sababu ganiMbona kaajiriwa ToT, CCM wanatoa msharaha mdogo au ndivyo alivyo.
Nilishamsikia yule "Asuuu" anasema wanalipwa mishahara, haijalishi kama kuna kazi au hakuna.Kazi za TOT hadi kipindi cha kampeni..afu ulizia mishahara ya ccm ndio utajua,unadhani mzee baba kampa Polepole ubunge kwa sababu gani