sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 2,521
- 7,368
Ili msanii uwe superstar kuna vitu vitatu vya muhimu kuwa navyo.
1. Kipaji
2. Nyota
3. Connection
Ukikosa vyote basi walau uwe na viwili kati ya hivyo na kitu Nyota usikikose.
Msanii mpya kabisa lakini aliyeweza kupenya kwenye mioyo ya kila mtanzania hapa namzungumzia Zuchu yeye amejaliwa vyote vitatu yani nyota, connection na kipaji.
Hakuna ubishi Zuchu ndio msanii namba moja wa kike kwa sasa hapa bongo.
Na moja ya sababu ya kuteka industry ya muziki ni kujaliwa nyota kali. Nyota ya Zuchu inataka ifanane na ya kiongozi wake Diamond Platnumz.
Kuna vitu tutaendelea kuvishuhudia kutoka kwake na vitatushangaza. Tutabaki tunajiuliza kwa nini yeye lakini tusipate majibu, ndio namna nyota nzuri zinavyotokea.
Zuchu kama Zuchu ni supastaa.
1. Kipaji
2. Nyota
3. Connection
Ukikosa vyote basi walau uwe na viwili kati ya hivyo na kitu Nyota usikikose.
Msanii mpya kabisa lakini aliyeweza kupenya kwenye mioyo ya kila mtanzania hapa namzungumzia Zuchu yeye amejaliwa vyote vitatu yani nyota, connection na kipaji.
Hakuna ubishi Zuchu ndio msanii namba moja wa kike kwa sasa hapa bongo.
Na moja ya sababu ya kuteka industry ya muziki ni kujaliwa nyota kali. Nyota ya Zuchu inataka ifanane na ya kiongozi wake Diamond Platnumz.
Kuna vitu tutaendelea kuvishuhudia kutoka kwake na vitatushangaza. Tutabaki tunajiuliza kwa nini yeye lakini tusipate majibu, ndio namna nyota nzuri zinavyotokea.
Zuchu kama Zuchu ni supastaa.