Simba Songwe
Member
- Sep 28, 2020
- 59
- 8
Mbona hayaingiliani kabisa na issue yako ,mimi niliangalia meeting na nikaona Gwajima yuko sahihi kabisa
Yaani Rashid akiwa madhabahuni yake huwa anajiona ndiye anayejua kila kitu.CEO wa pfizer hawezi kuongea na mtu kama Gwajima kimajadiliano, achilia kuwa rafiki yake.
Hiyo Zoom Meeting ikifanyika lini? Kama ilifanyika, tupe marejesho ya kile hawa marafiki walikizungumza.Mbona hayaingiliani kabisa na issue yako ,mimi niliangalia meeting na nikaona Gwajima yuko sahihi kabisa
Nimekwishachanja! Lakini wakati mimi niko hai bado, mama yangu aliyeaminishwa tunayozungumzia alinitoka! Hutoweza kuelewa mpaka jambo hili likukute!kachanje wewe ndugu