malkiory
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 270
- 24
Muswada wa katiba mpya uliopendekezwa na serikali na hatimaye kujadiliwa na wanaharakati, wanasiasa pamoja na wananchi katika kongamano la pili la katiba iliyoandaliwa na UDASA na kufanyika katika ukumbi wa Nkuruma na kurushwa hewani moja kwa moja na kituo cha televisioni ya ITV, ulinifundisha jinsi serikali yetu ilivyoshiba Ubinafsi, Ukiritimba, Unafiki, ufisadi, udikteta n.k
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!