Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,476
- 37,749
Nilidhani hili limenishangaza peke yangu! Yaani gaidi yuko filefile!Halafu nimegundua kuwa serikali NATO inajua kuwa din gan ni magaidi kwa. Kuangalia wale wale makomandoo
Nilidhani hili limenishangaza peke yangu! Yaani gaidi yuko filefile!Halafu nimegundua kuwa serikali NATO inajua kuwa din gan ni magaidi kwa. Kuangalia wale wale makomandoo
Inter continental yapo mkuu....sie tunauwezo wa kurusha maneno hapa na asia na mtu akazimia.Wakumpiga huko masafa marefu ni nani?
Me nlikuwa naona aibu kwa watu wa nje waliokuwa wanatizama nkatamani nizime huko tcra, angalau wale walokaribishwa kusalmia kuna mmoja alimkazia JPM miaka yake ni 10 tu, mwingne akasema anaipongeza serikali ya awamu ya 3, nlifurahi kidogo kwingne nliona chenga tu.
Brother kwanini usiwajaribu?Kutafuta kuonekana wanajuwa kumbe hamna kitu,vitu vingine iwe siri yao makambini huko ,binafsi nawakubali sana TISS wapo kipekee sana sijui na ubora wa viwango vya elimu na upeo wa watu wao una wabeba ,hao makomando huwa ni division zero wa form four.
Nami nilimkubali sanaila mnyonge mnyongeni haki yake mpeni yule dereva wa chopa ni fundi sana
Ukweli onesho lao halikuwa na jipya ,wanajimwambafy lakini perfomance inawaumbua.Nimeangalia lile zoezi na kwa upeo wangu nikaona kama la kawaida. Au ndio yale ukiwa nje ya uwanja.
Kubwa nililoona pale ni kuwa wakati helkopta iko pale juu ikishusha waokoaji, sikuona wengine wakiwa na silaha mle ndani kwa lengo la kuangaza nacho pande zote na kwa mbali kujiepusha na adui.
Kwa mfano adui angekuwa mbali kama mita mia hamsini hivi na akaamua kurusha kombora ingekuwaje?
Huu mnyama nimekubali. Salute.,helicopter utazani ya ambulance, JPM stopisha hiyo miradi watafutie vijana helicopters za kueleweka.View attachment 1286873
Yaani nimesikitika sana juu ya weledi wa makomandoo wetu. Wasitufqnye sisi kajamba nani hatujui mambo yaani pale jambo walilofanya makomandoo wetu ni kushuka chini kwenye helikopta kwa kamba.Nimeangalia lile zoezi na kwa upeo wangu nikaona kama la kawaida. Au ndio yale ukiwa nje ya uwanja.
Kubwa nililoona pale ni kuwa wakati helkopta iko pale juu ikishusha waokoaji, sikuona wengine wakiwa na silaha mle ndani kwa lengo la kuangaza nacho pande zote na kwa mbali kujiepusha na adui.
Kwa mfano adui angekuwa mbali kama mita mia hamsini hivi na akaamua kurusha kombora ingekuwaje?
Itakua alitekwa mitaa ya pale gymkhana.Hivi Mo sio VIP?! Walikua wapi wkt anachukulia kirahisi kabisa na kirudishwa?!
HIZI SANAA ZA AWAMU HII HTR SN
Kutafuta kuonekana wanajuwa kumbe hamna kitu,vitu vingine iwe siri yao makambini huko ,binafsi nawakubali sana TISS wapo kipekee sana sijui na ubora wa viwango vya elimu na upeo wa watu wao una wabeba ,hao makomando huwa ni division zero wa form four.
Hiyo ndio helicopter bilion 50tsh na change inabaki, imesheheni zana zote pembeni wao wanatuonyesha helicopter hata kwa kombero unaitungua aibu sanaHuu mnyama nimekubali. Salute.
Nadhani,au ulitaka wawe wale sungusungu mkuu?kwa nn mlinzi wa rais wa tz ni lazima awe TISS?
Wakumpiga huko masafa marefu ni nani?
Hautaweza kuilewe,endelea hivyo hivyo. Ndiyo maana ya TISS hiyo.Hata TISS wapo wenye elimu ndogo. Nilianza kuwadharau kielimu baada ya mwanafunzi wangu wa four ya 31 kuajiliwa huu uko baada Ya kula kwata mlale JKT
Barafu huyooNami nilimkubali sana