Vyama vinafuatwa Makao yao makuu na siyo uchochoroniNimewaza kwa ujinga imekuwaje CCM ikawa ya mwisho pekee na wao wasajili ndio wanaifuata Dodoma?
Hii Dunia ya Tanzania vioja
Chadema ni zaidi ya chama cha siasa. Pengine acha kifutwe tu ili tuujue ukweli.
Ina mbunge mmoja tu tena isiyemtilia maanani, lakini hapa JF mpo jeshi zima la LB7 24 7 kuvizia na kujibu viashiria vya Chadema toka kila kona ya dunia.
Kule Dodoma, haipiti muda bila kipaza sauti kutoa dondoo kuhusu Chadema. Mikutano ya CCM nayo imejaa mipasho kwa Chadema hata kwa mambo ya kufikirika. Wale 19 wameshakosa maana hata kwa chama tawala. Tayari wameshasahaulika.