Zoezi la RC Makonda la kuchunguza na kuvamia nyumba za wananchi Dar litagharinu Bilioni 150

mangesani

Senior Member
Jun 20, 2016
159
88
RC Makonda itamgharimu takriban shilingi Bilioni 120 kupeleka mapolisi kwenye kila kata mtaa na nyumba kujua tunakula nini tunalala Saa ngapi tunavaa nini na wake zetu na watoto wetu.


Sasa najiuliza mafuta ya magari ya polisi. Ovatime zao, Majaji na bila kusahau gharama za kutoa hizo inorobable search warrants ili wananchi milioni 10 wa jiji hili wachunguzwe maisha yao zitagharamiwa na bajeti ya nani na iliidhinishwa na nani na je wizara ya katiba na sheria wanakubali haya mambo ya wananchi wasio na hatia privacy zao kuvamiwa bila sababu za msingi?

Hivi gharama hizi zina we za kufanya mambo mangapi ya maendeleo? Magufuli naye anaridhia hii waste au kuna jambo lingine ambalo tunalipiwa sisi wana Dar?

Naona Meya wa Jiji hili kashamwambia Makonda aache haya mambo ya kuingilia civil liberties za wananchi bila sababu za msingi

This city is literally run by a madman out of the asylum and I wonder if we will survive this....
 
mkuu, weka source, taarifa ya meya ilikuwa ya uongo

naona wenzako wanachangia bila kujua source

mkiambiwa mmedumaa mtarusha ngumi
 
Hicho kiasi umekijuaje?

Nihesabie na mimi nifahamu.

Na je hao waliopo hawana mishahara katika kazi zao?
 
Post imejaa uongo mwingi. Jiji la Dar lina wakazi 5...milioni. Kazi hiyo itafanywa na viongozi wa serikali za mitaa ambao ni just next house. Wakaidi kama wewe mleta Uzi ndo mtaitiwa polisi kutoka Police Post ya mtaani au mgambo kukukamata!
 
Post imejaa uongo mwingi. Jiji la Dar lina wakazi 5...milioni. Kazi hiyo itafanywa na viongozi wa serikali za mitaa ambao ni just next house. Wakaidi kama wewe mleta Uzi ndo mtaitiwa polisi kutoka Police Post ya mtaani au mgambo kukukamata!
2013 Dar ilikuwa na wakazikalia milioni 4.5 na ni moja ya miji ambayo inakuwa sana kwa idadi ya watu na hiyo sensa ni estimate

The bottom line naomba budget ya hiyo inspection iliyotaka kama ya SS wa 3rd Reitch
 
kwanza huo msako unanipa wasisi na ninaona umekaa kisiasa zaidi na unaweza ukute huo msako utafanyika kwenye nyumba za vyama vya upinzani tu. na wakati huo wanachama wa ccm wengi ndio hawana kazi wanategemea kuomba omba.
 
""Ipo aina fulani ya wanadamu wanakuwa na tatizo la kisaikolojia moja ya jambo ambalo hulipenda sana na huwafurahisha hisia zao ni pale binadamu mwingine anapokuwa tourched...Au kuumia au saffocation, it make then happy abnormally.
 
kwanza huo msako unanipa wasisi na ninaona umekaa kisiasa zaidi na unaweza ukute huo msako utafanyika kwenye nyumba za vyama vya upinzani tu. na wakati huo wanachama wa ccm wengi ndio hawana kazi wanategemea kuomba omba.
hebu atafakari na kubuni njia za kuwapunguzia wananchi kero zi azowakabili zikiwamo za kipato.
Huu mkakati wake wa kufanya sensa ya wanaccm kwenye kaya haitaisaidia ccm wala aliyemtuma. Nina wasiwasi na kinachotafutwa jijini. Na ni kwanini dar peke yake isiwe na mikoa ya pembezoni iliyo na mipaka wazi ya kuingilia wasio raia?
 
""IPO AINA FULANI YA WANADAMU WANAKUWA NA TATIZO LA KISAIKOLOJIA MOJA YA JAMBO AINA HII HULIPENDA SANA NA HUFURAHISHA HISIA ZAO NI PALE BINADAMU MWINGINE ANAPOKUWA TOURCHED...AU KUUMIA AU SAFFOCATION IT MAKE THEN HAPPY ABNORMALLY.

Ndiyo Makonda huyo au? The guy sounds insane.
 
Back
Top Bottom