Kipara kikubwa
Member
- Jan 8, 2011
- 99
- 30
Kuna taarifa kuwa ndege kubwa ikiwa na abiria 200 imeanguka kiwanjwa cha JNIA na helcoper zinaonekana angani kupeleka majeruhi muhimbili.
Kuna taarifa kuwa ndege kubwa ikiwa na abiria 200 imeanguka kiwanjwa cha JNIA na helcoper zinaonekana angani kupeleka majeruhi muhimbili.
Ngoja ianguke kweli ndio tutajua kama wako Fit kweli au magumashi
wewe unatokea wapi?mnakumbuka kisa cha kijana mchunga kondoo mbugani?
alikuwa anatania wanakijiji kila mara kavamiwa na mbwa mwitu kila wakija hawakuti kitu aksema alikuwa anawatania
siku alipovamiwa kweli wanakijiji wakadhani ni mchezo wake ule ule kumbe kijana aliliwa na mbwa mwitu
haya mazoezi ya kila mara ipo siku matabibu watazoea na kuona kawaida hata wasijishughulishe
wawe makini na mazoezi yao ya kila mara.