Nasema
Hiyo ilikuwa tishia bwege....machinga watakuwepo sana tu maana hapo 🥰🥰
Hiyo ilikuwa tishia bwege....machinga watakuwepo sana tu maana hapo 🥰🥰
Alalale achana na habari za machinga weweKwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.
Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Mkuu halafu unarepoti wapi?Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.
Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
JfMkuu halafu unarepoti wapi?
Wamachinga Wasibugudhiwe Waacheni wafanye Biashara popoteKwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.
Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu
Sawa Mheshimiwa lakini pamoja na Wamachinga kuwataka wasizibe njia za waendao kwa miguu natamani angetoa amri pia kuwa waendesha magari, waendesha pikipiki, bajaji pia wahindi wapika kuku na chips usiku watuachie njia za waenda kwa miguu. Ukienda nchi za wenzetu, huruhusiwi hata kusimama kupiga soga na rafiki njiani! Polisi watakuja kuwaambia ondokeni ili msizuie msafara wa waendao kwa miguu. Sababu ya kufanya hivyo ni kuheshimu waendao kwa miguu kwa sababu ndiyo wengi, pia wengine wameacha magari yao kupunguza traffic, wengine wanafanya mazoezi, ni haki yao pia ni kuokoa muda wa waendao kwa miguu ili wafike waendako haraka. Inaongeza tija kwenye uchumi na kuongeza furaha kwa wananchi wako! Hivi viongozi wetu hamsafiri nje ya nchi. Tazameni hata hapo Dubai!Kwa Mujibu wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla kuanzia leo Septemba 13 wamachinga wote wanaofanya biashara zao kwenye njia za watembea kwa miguu wanatakiwa kuwa wameondoka wao wenyewe pamoja na mabanda yao.
Nimepita Mbagala sijaona dalili yoyote ya wamachinga kuondoka, na sasa naelekea Kariakoo kujionea hali halisi.
Popote ulipo ndani ya Dar es Salaam tuletee taarifa ya wamachinga kuhusiana na zoezi hili muhimu