Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,505
Bw mkumbo amesema miili hiyo inatarajiwa kuwasili katika uwanja Mdogo wa ndege wa Arusha saa Tisa kamili mchana.
Aidha kamanda mkumbo amesema Taratibu nyingine zitatolewa baada ya miili hiyo kuwasili ambapo itapokelewa na viongozi wa Ngazi mbalimbali Mkoani hapo.
Ndege hiyo Mdogo ya abiria Mali ya Kampuni ya ndege ya Coastal Air ilianguka Jana katika eneo la embakai wilayani Ngorongoro na kuja watu wote 11 waliokuwemo ambao walikuwa wanatokea Arusha kwenda Serengeti.
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana
ITV