This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Umeshajua tatizo?Mpuuzi sana huyu ruban
Umeshajua tatizo?Mpuuzi sana huyu ruban
Wapuuzi nyinyi ambao hamna rubani .Mpuuzi sana huyu ruban
Ununue ndege au helikopta halafu ufunguliwe kesi ya uhujumu uchumi.Hivi sisi hatunaga ndege hizo
Mbona mara nyingi tz tunapenda
Kukodisha ndege ama helukopta
Kutoka kenya
Ova
Ila kwa sababu huko Kilimanjaro na Arusha huwa wanapinga ccm wasimwagie dawaWaziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya.
Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho itatumika ndege ya Shirika la Chakula Duniani FAO.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Duuhhh ama kweli JF kuna mamboSio kwamba atakuwa kaambiwa arejee nyumbani haraka, kutokana na hili janga ka Korona kweli.
Inawezekana atarudi labda atakuwa ameenda kwao kufuatilia mtungi wa oxygen.
Kutenda kosa siyo kosa bali kurudia kosa, Arusha na Kilimanjaro hawajarudia makosa 2020!Ila kwa sababu huko Kilimanjaro na Arusha huwa wanapinga ccm wasimwagie dawa
Aliyeondoka ni Mtanzania wa CCM toka Kenya ina maana mlikuwa na pilot mmoja tu bila mwingine wa CCM wa kupokezana nae? MaCCM yanafikiri kunyunyizia nzige ni kazi rahisi kama kubeba mabegi meusi!😂😂 Nakazia, hakuna kijana wa Chadema hata mmoja anajua kurusha ndege. 😂✅🔰 Chadema wanafikiria ndege ni kama yale magari yao ya M4C, haa what a waste. Na mwingine anasema eti hatuwezi fukuza nzige kwa malimao na tangaziwi, imagine🤔 hawa vijana wa Chadema, vichwa kama vibuyu, vikubwa kwa nje, ndani empty minds, zero kabisa..
Ndege za dawa nyingi ukisoma tail number utakuta imeanza na 5Y maana yake imesajikiwa KenyaDili tu za watu. Ukienda hapo Kilombero sugar ndege za kunyunyiza dawa zipo karibu kila week.
Ila kama nazo hukodiwa kutoka Kenya, basi kutakua na shida ya kimfumo.
Tuombeane maendeleo.
mbona wewe hujaenda?Yaani vijana wa chadema mmekaa tu hapa JF mnalalamika ,
Hakuna hata mmoja ambaye anaweza kuendesha ndege akawakilishe Chadema katika hilo??
😂😂 Nakazia, hakuna kijana wa Chadema hata mmoja anajua kurusha ndege. 😂✅🔰 Chadema wanafikiria ndege ni kama yale magari yao ya M4C, haa what a waste. Na mwingine anasema eti hatuwezi fukuza nzige kwa malimao na tangaziwi, imagine🤔 hawa vijana wa Chadema, vichwa kama vibuyu, vikubwa kwa nje, ndani empty minds, zero kabisa..Hilo Shirika la Desert Locust Control Organization for Eastern Africa kama kawaida lilikufa mikononi mwa Tanzania baada ya miaka miwili tu ya uongozi wa Prof Kayumbo (Musukuma) akitokea SUA. Likiwa na Makao Makuu Addis Ababa, Shirika lilifanya Kazi nzuri sana maana liliwathibiti nzige kulekule jangwani wanakozaliana kabla hawajaja kusini kwenye mashamba ya wakulima. Mkurugenzi Mkuu, wa kwanza toka Tanzania toka Shirika lianzishwe, akawa anashutumiwa kwa matumizi mabaya ya fedha kuwa safari za mara kwa mara Ulaya. Nchi wanachama wakailalamikia Tanzania juu ya tabia hiyo ya Mkurugenzi lakini badala kumkemea na kumrekabisha wanaanza kulinda na ndipo Nchi wanachama wakasitisha michango na Shirika likafa mpaka leo.Ndege hazikodiwi waziri kaeleza kuna shirika la desert locust contro organization Tanzania ni mwanachama makao yake makuu ni ethiopia bt ndege huwa zinakaa kenya, nchi mwanachama akipata tatizo shirika linataarifiwa linatoa ndege, ruban na engenear na malipo yao yote yanafanywa na shirika, serikali inanua mafuta na sumu kazi inaendelea ruban atakuwa na ishu zake nyingine
Zamani miaka ya 1970 n1 1980 kulikuwa na ndege za hiy kazi pale Arusha kama sijakosea kuna zingine zilipigwa mnada kwa bei ya kutupwaProf Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho itatumika ndege ya Shirika la Chakula Duniani FAO.
Ndege za Tanzania 5H.Ndege za dawa nyingi ukisoma tail number utakuta imeanza na 5Y maana yake imesajikiwa Kenya
Sawa kabisa. Hizo ndege zilikuwa za Serikali zikimilikiwa na Wizara ya Kilimo zikitumiwa na Kituo chake cha Bird Control kilichokuwa kule Arusha ambacho nacho kimekufa. Shirika la nzige lilikuwa linathibiti hao panzi, Kituo cha Bird Control kilikuwa kinathibiti ndege waharibifu na viwavi jeshi kwa hiyo Taasisi hizi mbili zilikuwa zinashirikiana sana mpaka Shirika likajenga Ofisi zake Arusha karibu na Kituo.Zamani miaka ya 1970 n1 1980 kulikuwa na ndege za hiy kazi pale Arusha kama sijakosea kuna zingine zilipigwa mnada kwa bei ya kutupwa
Wakenya roho mbaya sanaNao wanajisikia
Sisi ni wabovu sana kwenye ku sustain miradi, tunachoweza ni procurement tu, tukishapata 10% tuna dump mitambo na kujipanga kuhujumu mradi tulioanzisha wenyewe kwa fedha zetu wenyeweSawa kabisa. Hizo ndege zilikuwa za Serikali zikimilikiwa na Wizara ya Kilimo zikitumiwa na Kituo chake cha Bird Control kilichokuwa kule Arusha ambacho nacho kimekufa. Shirika la nzige lilikuwa linathibiti hao panzi, Kituo cha Bird Control kilikuwa kinathibiti ndege waharibifu na viwavi jeshi kwa hiyo Taasisi hizi mbili zilikuwa zinashirikiana sana mpaka Shirika likajenga Ofisi zake Arusha karibu na Kituo.
Kilimo anga kipo mbioni kufufuliwaSawa kabisa. Hizo ndege zilikuwa za Serikali zikimilikiwa na Wizara ya Kilimo zikitumiwa na Kituo chake cha Bird Control kilichokuwa kule Arusha ambacho nacho kimekufa. Shirika la nzige lilikuwa linathibiti hao panzi, Kituo cha Bird Control kilikuwa kinathibiti ndege waharibifu na viwavi jeshi kwa hiyo Taasisi hizi mbili zilikuwa zinashirikiana sana mpaka Shirika likajenga Ofisi zake Arusha karibu na Kituo.
Hata mimi nashangaa sana kusikia rubani anatoka Kenya, ndege nayo sijui ya Kenya kama itakayokuja kesho ni ya FAO na si ya kwetu.Kumbe hata rubani anatoka Kenya