900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 5,565
- 5,854
Hapa nilipo nimeshaanza zoezi nakaza naachia nakaza naachiaHabari zenu wadau: let me go straight to the point,,, kumekuwa na malalamiko kuhusiana na nguvu za kiume, bahati mbaya watu hawaelewi tatizo hili linasababishwa na nini, kiukweli tatizo linaweza kuwa la ki psychology au physically factors, sasa leo nataka niwape mbinu ambayo itaenda kubadilisha maisha yako yakimahusiano, sasa twende kwenye methods and how to do it correctly, kwanza kabisa zoezi linaanza ukiwa umebanwa na haja ndogo, halafu unafanya kama.
Unaachia mkojo halafu ubana kidogo rudia hivi Mara kadhaa, mpaka utakapo gundua kwamba umeelewa ni upi msuli sahihi uufanyie mazoezi, baada ya hapo utakuwa unafanya zoezi hili kila siku, zoezi hili linasaidia sana kuboresha misuli ya uume, inasaidia kwa wale wanao wahi kufika kileleni, na wale wanaosumbuka kurudia tendo baada ya kumaliza bao la kwanza, ni hayo tu...