Au ChatleWabadilishe jina kiitwe Cha wote.
Vita siyo mzuri waendelee kama mwanzo
Uwanja wa mpira una eneo la mita za mraba 5000 (50*100) .Ni kweli mimi ni kilaza wa hesabu, lakini kwa akili yangu ndogo hii, nilijaribu kukokotoa nikaona kama inagoma vile.
100²= 10,000 nusu yake = 5,000
100×2= 200 nusu yake = 100
200²= 40,000 nusu yake =20,000
200×2 = 400 nusu yake = 200
Duh! Samahani kwa ukilaza wangu, sababu hisabati niliacha toka nikiwa darasa la nne.
Goziba katika ramani hujulikana kama NABUYONGA ni kisiwa ambacho kwa hesabu za macho kiko katikati ya ziwa victoria. Hadi huu muda niko pale na natoa comment nikiwa pale. Haiko mpakani bali kuna zaidi ya mail 20 kufika mpakani. Goziba mpaka huu muda haina umeme ila ina mnala wa vodacom na unatumika kwa mawasiliano kwa mitandao miwili ikiwemo na airtel.Migingo ipo ndani ya mipaka ya Kenya, namna migingo ilivyokuwa located ni sawa na Kisiwa cha Goziba kilivyo located. Vyote vipo in the middle of no where, visiwa vyote vipo isolated na visiwa vingine, visiwa vyote vipo katikati ya maji marefu. Huku Goziba kikiwa kati ya mpaka wa Tanzania na Uganda, Migingo ipo kati ya mpaka wa Kenya na Uganda.
Visiwa hivi kwa Sangara na Dagaa huwezi fananisha na visiwa vingine kutokana na kwamba vipo maji yenye kina kirefu, wenyewe huita maji marefu.
Wakati Goziba inaenda pata suluhisho la uneme Migingo bado itaendelea baki gizani.
Mgogoro wa Migingo ni mgumu sana, sababu ni waganda ndio walianza occupy kisiwa kisicho chao, wakajenga na kujenga, wamekuja wakenya wakafika na kushirikiana nao, huku ardhi yote ikawa inamilikiwa na waganda, hivyo wakenya wamekuwa wapangaji kwenye ardhi yao.
Shortly ni kwamba Kenya ikitaka komboa hicho kisiwa inaweza fanya hivyo asubuhi mapema.
Duh! Afadhali we umenielewesha, kuliko anaye nishambulia wakati sijui chochote kuhusu field borders za soccer.Uwanja wa mpira una eneo la mita za mraba 5000 (50*100) .
Nusu uwanja ni 2500.. Hivyo kisiwa hicho kina eneo chini ya nusu ya uwanja wa mpira wa miguu..
Basi kazi kwelikweli huko.Ati choo hamuna. Umesikia wapi Mkara akichimba choo?? Hata wasome waende ulaya, Hakuna mkara mwenye choo. Choo ni Victoria. Hata hizo baa hazina vyoo
Nimesema Goziba inaenda pata umeme na sio ina umeme tayari, sababu najua mpango wa kuupeleka umeme hapo upo tayari.Goziba katika ramani hujulikana kama NABUYONGA ni kisiwa ambacho kwa hesabu za macho kiko katikati ya ziwa victoria. Hadi huu muda niko pale na natoa comment nikiwa pale. Haiko mpakani bali kuna zaidi ya mail 20 kufika mpakani. Goziba mpaka huu muda haina umeme ila ina mnala wa vodacom na unatumika kwa mawasiliano kwa mitandao miwili ikiwemo na airtel.
Daladala za kwenda wapi? Maana nusu uwanja wa mpira haina haja hata kuwa baiskeli, watu wakitoka kuvua ni kunywa na kufanya ufuska,Hamna shule? Kanisa? Daladala?
Uwanja una marefu ya mita 100 na mapana ya mita 50Ni kweli mimi ni kilaza wa hesabu, lakini kwa akili yangu ndogo hii, nilijaribu kukokotoa nikaona kama inagoma vile.
100²= 10,000 nusu yake = 5,000
100×2= 200 nusu yake = 100
200²= 40,000 nusu yake =20,000
200×2 = 400 nusu yake = 200
Duh! Samahani kwa ukilaza wangu, sababu hisabati niliacha toka nikiwa darasa la nne.
Sasa kwa mfano mtu akifa anazikwa wapi?
Daladala unapanda kwenda wapi wakati nyumba zote zipo eneo moja mama?Hamna shule? Kanisa? Daladala?
nan alietoa tamko la kibabe hivyoNakumbuka wakati mgogoro ulivyozidi baina ya mataifa hayo mawili na kuanza kushambulia wavuvi wanaotoka Tanzania ,serikali ya Tanzania ilitoa tamko kwamba Kenya na Uganda wakaendelea kuzozana juu ya kisiwa hicho na kuperekea RAIA wake kupoteza maisha, watakilipua na kukiteketeza hicho kisiwa