Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
- Thread starter
- #41
Mi naona akina zitto wakijiuzulu italeta intarraption coz amepeleka concern G75 kutokuwa na imani na PM akiwa kama chaiman wa kamati ya bunge,so pengine akistep aside iyo hoja ita_invalid.hebu mwenye kujua kipengele hiki a2juze.
Emeka Anyaoku;
Japo bado sijapata supporting provision ya swali lako lakini binafsi sioni ni kwa namna gani kujiuzulu kwa Zitto kama Mwenyekiti ama Mwanakamati kuta nullify ama vitiate kile alichokipeleka kwa Speaker.
Submission yake itabaki pale pale, japo Katiba katika ile Ibara ya 53 (A) haijaainisha kuwa ni nani anaweza kupeleka hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu ila imefafanua kuwa Bunge linaweza kupitisha azimio la kutokuwa na imani na PM hivyo basi kwa kuwa Bunge hukaliwa na Wabunge tafsiri ni kwamba Mbunge yeyote (I stand to be corrected) anaweza kutoa ama kupeleka hoja hiyo pale inapobidi.
Hivyo ni wazi kwamba hata Zitto yaweza ikawa kapeleka hoja yake si chini ya mwamvuli wa Uenyekiti bali kwa nafasi yake kama Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.