sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,870
Kachukue buku 7 yako ,mshiko umeingia huoHakuna mtu mnafiki km zito Tanzania bora hata Mbowe
Kachukue buku 7 yako ,mshiko umeingia huoHakuna mtu mnafiki km zito Tanzania bora hata Mbowe
Ushauri wangu waungane mgombea abakie lissu kwa sababu anauzika kirahisi( alinusurika na kifo ) wakishinda PM awe zitto.
Hapo kwa membe akili inakataa.
Zitto akiwa KUB kuna watu watateseka sana + bunge wa spikaNaunga mkono hoja
Ila sio pekee yake, but he is the best.
Naunga mkono asigombee urais ili aweze kurejea Bungeni kuwa KUB.
Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
P.
Ukweli ni kwamba Zitto asingeondoka CHADEMA angekuwa mwanasiasa tishio sana kwa ccm kuliko mwanasiasa mwingine yeyote aliyewahi kutokea katika taifa hili.Kimsingi hata ikitokea wakaungana, bado Zito ndio sahihi hata kama Lissu ana mvuto zaidi. Tatizo ni kuwa Lissu ana kesi nyingi hivyo ni lazima watazitumia kumuweka ndani mpaka uchaguzi upite.
Chadema wameshasahauHakuna mtu mnafiki km zito Tanzania bora hata Mbowe
HiiJana nimekunywa mbowe mbili, nimelewa chakaliii
Toka nimfahamu zitto zuberi kabwe hajawahi kabisa kuniangusha
Amekuwa mwanasiasa makini sana mwenye kujenga hoja zinazoeleweka na zenye tija kwa taifa letu la Tanzania.
Sote tunafahamu zitto zuberi kabwe alifukuzwa CHADEMA na kujiunga na ACT wazalendo.
Pamoja na kufukuzwa uanachama hakuwahi kutoa kejeli Wala matusi kwa chama kilichomfukuza kama tunavyoona kwa akina Silinde na Lijualikali ambao wamefukuzwa uanachama wa CHADEMA.
Mh Kabwe Alikuwa na uwezo wa kuhamia chama tawala lakini hakuwahi kufanya hivyo ingawa profile yake ilikuwa kubwa Sana kisiasa.
Alijiunga na ACT Wazalendo ili kuimarisha upinzani kwani upinzani imara ndio nguvu ya taifa.
Mh Kabwe ameonesha kuwa ni mwanasiasa wa upinzani mwenye ukomavu wa hali ya juu kwani ameendelea kukiunga mkono chama Cha upinzani kilichomfukuza na ameonekana kuwa bega kwa bega katika kila tatizo ambalo chama chake Mama kinapitia pamoja na kuwa kilimfukuza.
Hakuna ubishi kuwa kwa Sasa mpinzani anaeweza kujenga hoja na kuitetea kwa masilahi ya taifa letu Ni mh Zitto Zuberi Kabwe.
Sote tunalifahamu sakata la mkopo wa elimu kutoka world bank lilivyokuwa na mpaka lilipoishia.
Nahitimisha kwa kusema mh Zitto Zuberi Kabwe ndiye mpinzani wa kweli na aliye imara kuliko yeyote mwingine hapa nchini.