Zitto yu wapi Bunge la Bajeti?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,095
103,349
Wakuu wa UKAWA,Intarahamwe na wengine naombeni kujua Zitto Kabwe yupo wapi bunge la Bajeti.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!

Spika acha kumbania mwenyekiti.
 
Wakuu wa Ukawa,Inatarahamwe na wengine naombeni kujua Zito K yu wapi bunge la katiba.Nikiri tu siangalii bunge dk zote lakini napata fursa ya kuangalia michango bora ktk taarifa za habari na magazeti,simuoni!!Spika acha kumbania mwenyekiti

chadema bila zitto haiwezrkani
 
Jaman zito kasha filisika, kiakili, kisula, mwenendo,Kiroho roho! ndo maana humusiki mkulu.
 
Yaani hapa JF ndo kabisaaa hataki hata kupasikia!!!! Alikuwa anajikakamua kidogo wakati hajatu-esikarioti, lakini tangu ajifanye Yuda na JF kuna data zake watu hawampi nafasi, kapotea jumla ndo hivo tena na Bungeni anaona aibu hata ya kusimama!!

Yangu macho.......
 
Tuliwaambia hamuwezi kuishi bila zitto ona sasa kucha mnamuota zitto wakati yeye hanashida na nyie na bado mtapata shida sana juu ya zitto.
 
Yaani hapa JF ndo kabisaaa hataki hata kupasikia!!!! Alikuwa anajikakamua kidogo wakati hajatu-esikarioti, lakini tangu ajifanye Yuda na JF kuna data zake watu hawampi nafasi, kapotea jumla ndo hivo tena na Bungeni anaona aibu hata ya kusimama!!

Yangu macho.......
Bila kutaja jina la zitto tunajua mtalala njaa endeleeni kulitaja ili mpate kula na kuendesha familia zenu make mnalipwa kwa kumchafua zitto.
 
Bila kutaja jina la zitto tunajua mtalala njaa endeleeni kulitaja ili mpate kula na kuendesha familia zenu make mnalipwa kwa kumchafua zitto.


Kwa taarifa yako wewe na Zitto mko mfukoni kwangu!! Uwe na adabu sio wote wanalipwa kama wewe!!
 
Wkend ya Ijmaa alikuwa Billicanas kwenye show ya Road to MAMA na yule fiance wake!!!
 
Back
Top Bottom