Sijaona chanzo chochote cha kuaminika kuwa Shibuda alisema maneno hayo mbali na gazeti la Rostum, hodari wa kuchakachua habari. Kama kweli Shibuda alisema hivyo Majira, Mwananchi, Kulikoni, na Daily News yangeiweka hiyo stori ukurasa wa mbele.Haihitaji mzee wa ndani aje kusaidia ni simpo, Shibuda kisha sema Mbowe ni Dikteta. Na anaendesha chanma kibabe babe kwa ajili tu hana uzoefu wa uongozi wa siasa. No CV.