Zitto wewe ni kibaraka wa CCM, hakuna siasa mpya utakazowaletea Watanzania

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Jul 21, 2021
1,125
4,168
Eti kutatua kero za watanzania. Mpyu....

👇
20230131_131958.jpg
 
ACT ni CCM [C]. Yani kwenye haya magenge ya siasa, sioni Suluhu ya watanzania itatokea wapi yote yana wapigaji balaa.
 
Sabaya amebambikiwa kesi tu na aliyepanga kumuuwa akachiwa huru licha ya kwamba mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu!.

Sabaya kwa mujibu wa mahakama yuko huru ila bado yuko gerezani kwa maelekezo ya viongozi wa serikali.
 
Back
Top Bottom