M Muuza Kangala JF-Expert Member Jul 21, 2021 1,125 4,168 Jan 31, 2023 #1 Eti kutatua kero za watanzania. Mpyu.... 👇
AGITATOR JF-Expert Member Apr 7, 2019 4,904 6,124 Jan 31, 2023 #2 ACT ni CCM [C]. Yani kwenye haya magenge ya siasa, sioni Suluhu ya watanzania itatokea wapi yote yana wapigaji balaa.
ACT ni CCM [C]. Yani kwenye haya magenge ya siasa, sioni Suluhu ya watanzania itatokea wapi yote yana wapigaji balaa.
K Kulwa Jilala JF-Expert Member Sep 6, 2022 3,510 7,755 Jan 31, 2023 #4 Sabaya amebambikiwa kesi tu na aliyepanga kumuuwa akachiwa huru licha ya kwamba mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu!. Sabaya kwa mujibu wa mahakama yuko huru ila bado yuko gerezani kwa maelekezo ya viongozi wa serikali.
Sabaya amebambikiwa kesi tu na aliyepanga kumuuwa akachiwa huru licha ya kwamba mahakama ilimkuta na kesi ya kujibu!. Sabaya kwa mujibu wa mahakama yuko huru ila bado yuko gerezani kwa maelekezo ya viongozi wa serikali.
J johnthebaptist JF-Expert Member May 27, 2014 83,779 141,662 Jan 31, 2023 #5 Zitto Kabwe ameshapitwa na wakati Watu wako na mwanasiasa wa kimataifa Tundu Antipas Lisu
Crimea JF-Expert Member Mar 25, 2014 24,893 33,449 Jan 31, 2023 #6 Nitajie mwanasiasa ambae si kibaraka
M Muuza Kangala JF-Expert Member Jul 21, 2021 1,125 4,168 Jan 31, 2023 Thread starter #7 Crimea said: Nitajie mwanasiasa ambae si kibaraka Click to expand... Jikite kwenye mada
jiwe angavu JF-Expert Member Aug 28, 2015 19,092 35,888 Jan 31, 2023 #8 Mchumia tumbo aliewaingiza kingi wapemba wafuasi wa maalimu bila kujua,sasa wanatumika vilivyo.