chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,695
- 4,947
muda mchache baada ya zzk kuacha bunge sababu ya kukosa sifa za kuendekea kuwa mbunge,alisikika akijitapa kuwa ana uhakika wa kupata wabunge 50 kwenda kujiunga na act,lkn kati ya wabunge aliokuwa anawategemea shibuda tayari kajiunga na tadea,lembeli yuko njiani kuelekea ufipa,arfi amesema hagombei ,kafulila kamkana,mkosa mali kamkana,sasa sijui hiyo idadi ya 50 ataipata wapi,pole sana mh sana mzee wa mwandiga
Huyu kijana mnafiki na ataiacha hoi ACTTTTT yake
SINA IMANI NA UKAWA
Safari ya zito kisiasa ndo inaishia hapo
Zitto anawasumbueni!!
Atakuwa kama hiyo avatar yako kule mwandiga
Hivi Mwl Kaijage naye kafia wapi? Maana siku hizi hatuoni zile post zake za uzushi, au naye kala kona nini?
Muda mchache baada ya zzk kuacha bunge sababu ya kukosa sifa za kuendekea kuwa mbunge,alisikika akijitapa kuwa ana uhakika wa kupata wabunge 50 kwenda kujiunga na act,lkn kati ya wabunge aliokuwa anawategemea shibuda tayari kajiunga na Tadea,lembeli yuko njiani kuelekea ufipa,Arfi amesema hagombei ,kafulila kamkana,mkosa Mali kamkana,sasa sijui hiyo idadi ya 50 ataipata wapi,pole sana mh sana mzee wa mwandiga
Hivi Mwl Kaijage naye kafia wapi? Maana siku hizi hatuoni zile post zake za uzushi, au naye kala kona nini?