MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
HIVI WE JAMAA MSIMAMO WAKO NI KUTETEA NINI ? HUNA faida yoyote , hujali chochote ! Hivi kwanini MUNGU ASIKUTWAE TU AISEE ?
Zitto ni mnafiki sana.
HIVI WE JAMAA MSIMAMO WAKO NI KUTETEA NINI ? HUNA faida yoyote , hujali chochote ! Hivi kwanini MUNGU ASIKUTWAE TU AISEE ?
Yeye zitto alihongwa ngapi jamaa mnafiki sana huyu,
ZZK baada ya kuwasilisha Bungeni akae kimya sasa ataharibu mchuzi
Mwenyekiti wa PAC Zitto Zuberi Kabwe amesema kuwa wabunge waliokuwa mstari wa mbele kutetea na kuwalinda mafisadi wa ESCROW walihongwa kila mmoja milioni 10. Pesa hizo zilikuwa zinapitia kwa mbunge wa Kishapu Suleiman Nchambi.
Source: TANZANIA DAIMA, leo.
We ndo kilaza nambari one! Utakuwa unafikiri kwa kutumia viungo vya utoaji taka mwilini wewe!
Mwenyekiti wa PAC Zitto Zuberi Kabwe amesema kuwa wabunge waliokuwa mstari wa mbele kutetea na kuwalinda mafisadi wa ESCROW walihongwa kila mmoja milioni 10. Pesa hizo zilikuwa zinapitia kwa mbunge wa Kishapu Suleiman Nchambi.
Source: TANZANIA DAIMA, leo.
Mbona hilo tunalijua! Yale mapovu waliyokuwa wanayatoa bungeni pasipo hoja tulijua wamelamba mapesa. Watu kama Assumpta Mshama (Mbunge wa Nkenge), Suleiman Nchambi (Mbunge wa Kishapu), Mbunge wa Viti maalum na Mwenyekiti wa( UWT) Temeke, Mariam Kisangi na wengine wengi hawafai kuwa viongozi. Wamedhihirisha kuwa sio watetezi wa wananchi bali mafisadi. Hawa ni wasaka tonge ambao hatuhitaji kuwa nao tena katika bunge lijalo la 2015. Ni shidaaaa!
Yeye zitto alihongwa ngapi jamaa mnafiki sana huyu,
Mpelekee Dr Slaa akusaidie kwenga mwembe yanga.
Unajua kuwa zitto naye kahongwa?
Yeye zitto alihongwa ngapi jamaa mnafiki sana huyu,
Tibaijuka alilipwa bilioni 1.6, Ngeleja akapewa milioni 40!
Mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za serikali (PAC) Zitto Kabwe amemlipua mbunge wa Kishapu mkoani Shinyanga Suleimani Nchambi {CCM} kuwa ni kati ya waliohusika kugawa rushwa ya sh milioni kumi kwa baadhi ya wabunge waliosimama kutetea kashfa ya uchotaji fedha sh Bilioni 360 katika Akaunti ya Escrow.
Kulipuliwa kwa Nchambi nje ya Bunge ,kumekuja siku chache baada ya mbunge huyo kuzomewa Bungeni na wabunge wenzake wakati akipingana na ripoti ya kamati ya Bunge ya hesabu za Serikali (PAC), inayoongozwa na mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe akizungumza na Tanzania Daima katika mahojiano maalum Jijini Dar es Salaam jana, Zitto alidai kuwa Nchambi anahusika kuwahonga wabunge kati ya sh milion 3 hadi 10. Alisema Nchambi alikuwa akigawa rushwa hiyo kwa awamu kwani kabla ya mbunge kuingia na kuchangia hoja ya kuwatetea.
CHANZO: Tanzania Daima
Mbona hilo tunalijua! Yale mapovu waliyokuwa wanayatoa bungeni pasipo hoja tulijua wamelamba mapesa. Watu kama Assumpta Mshama (Mbunge wa Nkenge), Suleiman Nchambi (Mbunge wa Kishapu), Mbunge wa Viti maalum na Mwenyekiti wa( UWT) Temeke, Mariam Kisangi na wengine wengi hawafai kuwa viongozi. Wamedhihirisha kuwa sio watetezi wa wananchi bali mafisadi. Hawa ni wasaka tonge ambao hatuhitaji kuwa nao tena katika bunge lijalo la 2015. Ni shidaaaa!