Zitto ungeanza kuiongelea kamati hii ya bunge kabla ya mahakama!

Ndugu yangu hata kama unajiita jinga lakini ninahakika unaakili japo kidogo. Basi angalau siku moja jithidi tu kujua kuwa Taifa ni mhimu kuliko itikadi. Nchi hii imedumaa kwa sababu ya watu kama nyie mnaodhani CCM na yote yanayofanywa na CCM ndio sahihi. Bahati mbaya hii cancer imemea mpaka kwa hao Kina Supika na Mpaka juu kwa Raia no 01. CAG alisema ukweli kabisa hata me layman naona mfano rahisi tu ni 1.5T kuyeyuka kisha tunaletewa magazijuto na kila Pole slow. Limekuwa bunge la kujipendekeza na kupongeza tu. Walimpongeza mkuu kwa kumdhalilisha PM kwenye issue ya ununuzi wa korosho Leo inageuka janga kwa nchi. Ninahakika hata hiki kikokotoo ambacho alikipitisha kwa mikono yake kisha kafuta baada ya kuona zile asilimia za Twashindwa zimekwisha kabisa akafuta wangekuwa in session ningekuwa ni mwendo wa kupongeza tu. Jamani amkeni nchi hii tunashangaa babu zetu waliwezaje kukubali kuwa chini ya ukoloni lakini yanayofanyika now chini ya CCM tunapakia kuwekwa kwenye jumba la maonesho
Sikuwahi kudhani eti CCM inafanya mema kwa asilimia 100 ...Sikuwahi kuwa na msimamo huo...nifuatilie sana.
Hatuhoji kwa sababu flani kasema nini dhidi ya CCM bali tunahoji kila linalofaa kuhojiwa kwa maslahi ya Taifa.
 
Yani nyie watu.. To you everything is about ccm and opposition! Acheni upumbavu wenu wa lumumba kila kitu lazima mtetee kwa ushabiki wa kichama, ifike pahali issue zingine tusimame kama watanzania na kujadili mambo kwa weledi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unayeleta Uccm vs opposition ni wewe ...tunasimama kama Taifa iwapo tutajadili bila hisia mambo bila mihemuko
 
ni wakati gani CAG anakuwa CAG ni wakati gani anakuwa ni mtu binafsi?
Je comments zake zilitokana na ripoti ya ukaguzi wa bunge au ni maoni yake binafsi?
Je katiba inakataza CAG asihojiwe na bunge kwa issues zipi ?
Hapa ndipo CAG atakapo nasa. Japo wengi hawalioni hili akiwemo mhe Zitto Kabwe.

Sheria inamlinda CAG kuhojiwa anapofanya kosa ktk kazi zake lkn siyo kama mtu binafsi na maoni binafsi
 
jingalao uliisoma japo kwa Uchache ile report ya mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) Iliyoibua madudu mengi ikiwemo matumizi ya 1.5 Trilion hayaeleweki na hakuna ufafanuzi toshelezi uliitokewa mpaka sasa zaidi ya yale "Magazijuto" ya Pole pole?

Je unatambua kwa mujibu wa Taarifa za CAG ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa DSM ilijichotea fedha na kuzitumia zaidi ya milioni 200?


Jiulize pamoja na yote hayo Bunge limechukua hatua zipi zenye kuhakikisha majibu yanatolewa na serikali kisha hatua zichukuliwe kwa waliosababisha hayo?


Je kwa kutokutimiza vyema wajibu wake huo ”Bange" hilo likiitwa dhaifu itakuwa ni makosa?


Kwani ni uongo kwa ni dhaifu?
 
jingalao uliisoma japo kwa Uchache ile report ya mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG) Iliyoibua madudu mengi ikiwemo matumizi ya 1.5 Trilion hayaeleweki na hakuna ufafanuzi toshelezi uliitokewa mpaka sasa zaidi ya yale "Magazijuto" ya Pole pole?

Je unatambua kwa mujibu wa Taarifa za CAG ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa DSM ilijichotea fedha na kuzitumia zaidi ya milioni 200?


Jiulize pamoja na yote hayo Bunge limechukua hatua zipi zenye kuhakikisha majibu yanatolewa na serikali kisha hatua zichukuliwe kwa waliosababisha hayo?


Je kwa kutokutimiza vyema wajibu wake huo ”Bange" hilo likiitwa dhaifu itakuwa ni makosa?


Kwani ni uongo kwa ni dhaifu?
Je bunge limewahi kutoa maazimio baada ya ripoti za CAG?
 
Back
Top Bottom