Zitto ungeanza kuiongelea kamati hii ya bunge kabla ya mahakama!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,052
28,242
Zitto akiwa mbunge hana budi kulinda heshima ya muhimili huo na hivyo kabla ya kuongozwa na mhemuko au chuki binafsi anapaswa kutulia na kutafakari.

Namshauri ndugu Zitto atuelimishe kuhusu kazi,mipaka na uwezo wa kamati muhimu ya bunge inayohusiana na kinga na madaraka ya Bunge.

Ikumbukwe kuwa maoni ya CAG hayajataja wabunge wa CCM tu bali bunge zima.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
(1) Wajumbe wake huteuliwa na Spika.
(2) Katibu huteuliwa na Ofisi ya Spika.
(3) Majukumu ya Kamati;
(a) Kuchuguza masuala yote yahusiyo Haki,
Kinga na
10
Madaraka ya Bunge yanayopelekwa kwake na
Spika;
(b) Kushughulikia mambo yanayohusu Maadili ya
Wabunge;
(c) Kufikiria jambo lingine lolote litakalopelewa
kwake na Spika
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Tofauti yako na mtoto ni ngumu kuijua

Tumepigwa 1.5T na serikali ya magufuli ulichindwa kutoa maoni haya?

Makonda alifanya tukio clouds na camera zilimngaza ulikaa kimya?

Makonda aliyeta mzingo na kukaa bila kulipwa kodi ulikaa kimya?


Inabidi magufuli mwenyewe arejee kwenye miiko ya uongozi na kanuni za utawala,awakanye hao,wabinafsi wachache wanaojifanya kumtetea.

Kuwa mtu mzima wakati mwingine ili ni taifa
 
Tofauti yako na mtoto ni ngumu kuijua

Tumepigwa 1.5T na serikali ya magufuli ulichindwa kutoa maoni haya?

Makonda alifanya tukio clouds na camera zilimngaza ulikaa kimya?

Makonda aliyeta mzingo na kukaa bila kulipwa kodi ulikaa kimya?


Inabidi magufuli mwenyewe arejee kwenye miiko ya uongozi na kanuni za utawala,awakanye hao,wabinafsi wachache wanaojifanya kumtetea.

Kuwa mtu mzima wakati mwingine ili ni taifa
Umekosea thread?
 
Zitto akiwa mbunge hana budi kulinda heshima ya muhimili huo na hivyo kabla ya kuongozwa na mhemuko au chuki binafsi anapaswa kutulia na kutafakari.

Namshauri ndugu Zitto atuelimishe kuhusu kazi,mipaka na uwezo wa kamati muhimu ya bunge inayohusiana na kinga na madaraka ya Bunge.

Ikumbukwe kuwa maoni ya CAG hayajataja wabunge wa CCM tu bali bunge zima.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
(1) Wajumbe wake huteuliwa na Spika.
(2) Katibu huteuliwa na Ofisi ya Spika.
(3) Majukumu ya Kamati;
(a) Kuchuguza masuala yote yahusiyo Haki,
Kinga na
10
Madaraka ya Bunge yanayopelekwa kwake na
Spika;
(b) Kushughulikia mambo yanayohusu Maadili ya
Wabunge;
(c) Kufikiria jambo lingine lolote litakalopelewa
kwake na Spika
Usome pia na Sheria iliyomuongoza CAG. Kumbuka hapo umenukuu kanuni za Bunge, lakini katika utekelezaji wake lazima zizingatie Katiba (kuhusu mamlaka ya CAG) inasemaje.

Vinginevyo itakua wito wa mashauriano na siyo kibano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani CAG kaongea uongo, wajibu wa kufanyia kazi ripoti yake ni ya nani? na hao wenye huo wajibu wamefanya nini cha maana? kwanini CCM mko kama mataahira? hili ni swala linalogusa maslahi ya nchi lakini ninyi ni watu wa kusifu na kutukuza upuuzi tu.CAG sio kiongozi wa chama cha upinzani msikariri kutetea kilakitu.
 
Zitto akiwa mbunge hana budi kulinda heshima ya muhimili huo na hivyo kabla ya kuongozwa na mhemuko au chuki binafsi anapaswa kutulia na kutafakari.

Namshauri ndugu Zitto atuelimishe kuhusu kazi,mipaka na uwezo wa kamati muhimu ya bunge inayohusiana na kinga na madaraka ya Bunge.

Ikumbukwe kuwa maoni ya CAG hayajataja wabunge wa CCM tu bali bunge zima.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
(1) Wajumbe wake huteuliwa na Spika.
(2) Katibu huteuliwa na Ofisi ya Spika.
(3) Majukumu ya Kamati;
(a) Kuchuguza masuala yote yahusiyo Haki,
Kinga na
10
Madaraka ya Bunge yanayopelekwa kwake na
Spika;
(b) Kushughulikia mambo yanayohusu Maadili ya
Wabunge;
(c) Kufikiria jambo lingine lolote litakalopelewa
kwake na Spika
Hii ya bunge kuwa yenyewe inatuhumu na hapohapo kuwa hakimu pia ina ukakasi sana. Mtu anaweza kuhoji kuwa inavunja katiba.

Kuhusu CAG na hoja ya ZZK, sheria za bunge hazipo juu ya katiba.
 
kwani CAG kaongea uongo, wajibu wa kufanyia kazi ripoti yake ni ya nani? na hao wenye huo wajibu wamefanya nini cha maana? kwanini CCM mko kama mataahira? hili ni swala linalogusa maslahi ya nchi lakini ninyi ni watu wa kusifu na kutukuza upuuzi tu.CAG sio kiongozi wa chama cha upinzani msikariri kutetea kilakitu.
CAG anao ushahidi wa mapendekezo yake kutozingatiwa na bunge?Nadhani ndicho alichokihoji au anachitaka kukijua ndugai.
 
Nimemkumbuka sana mwana JF mwenzetu (Nicholas).

Alitabiri toka siku nyingi haya madudu ya Bunge chini ya Ndugai.
 
Hii ya bunge kuwa yenyewe inatuhumu na hapohapo kuwa hakimu pia ina ukakasi sana. Mtu anaweza kuhoji kuwa inavunja katiba.

Kuhusu CAG na hoja ya ZZK, sheria za bunge hazipo juu ya katiba.
ni wakati gani CAG anakuwa CAG ni wakati gani anakuwa ni mtu binafsi?
Je comments zake zilitokana na ripoti ya ukaguzi wa bunge au ni maoni yake binafsi?
Je katiba inakataza CAG asihojiwe na bunge kwa issues zipi ?
 
Aliyechemka ni Ndugai ila baadhi ya watu sasa wanataka kuhamisha goal posts. Zitto kaja na vifungu kabisa kuonyesha kwamba Speaker Ndugai technically hana mamlaka ya kumsummon CAG the way anavyowaita wadada kama Halima na wenzie. Let that sink in first, then njooni na counter arguments na sio ngonjera.
 
Sasa hivi mko busy mitandaoni kumsafisha mgogo
Zitto akiwa mbunge hana budi kulinda heshima ya muhimili huo na hivyo kabla ya kuongozwa na mhemuko au chuki binafsi anapaswa kutulia na kutafakari.

Namshauri ndugu Zitto atuelimishe kuhusu kazi,mipaka na uwezo wa kamati muhimu ya bunge inayohusiana na kinga na madaraka ya Bunge.

Ikumbukwe kuwa maoni ya CAG hayajataja wabunge wa CCM tu bali bunge zima.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
(1) Wajumbe wake huteuliwa na Spika.
(2) Katibu huteuliwa na Ofisi ya Spika.
(3) Majukumu ya Kamati;
(a) Kuchuguza masuala yote yahusiyo Haki,
Kinga na
10
Madaraka ya Bunge yanayopelekwa kwake na
Spika;
(b) Kushughulikia mambo yanayohusu Maadili ya
Wabunge;
(c) Kufikiria jambo lingine lolote litakalopelewa
kwake na Spika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani CAG kaongea uongo, wajibu wa kufanyia kazi ripoti yake ni ya nani? na hao wenye huo wajibu wamefanya nini cha maana? kwanini CCM mko kama mataahira? hili ni swala linalogusa maslahi ya nchi lakini ninyi ni watu wa kusifu na kutukuza upuuzi tu.CAG sio kiongozi wa chama cha upinzani msikariri kutetea kilakitu.
Wakipatikana wa tz 50 kama wewe tutakua ktk right truck ,,hapo ndipo tutatembea vifua mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto akiwa mbunge hana budi kulinda heshima ya muhimili huo na hivyo kabla ya kuongozwa na mhemuko au chuki binafsi anapaswa kutulia na kutafakari.

Namshauri ndugu Zitto atuelimishe kuhusu kazi,mipaka na uwezo wa kamati muhimu ya bunge inayohusiana na kinga na madaraka ya Bunge.

Ikumbukwe kuwa maoni ya CAG hayajataja wabunge wa CCM tu bali bunge zima.

Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge
(1) Wajumbe wake huteuliwa na Spika.
(2) Katibu huteuliwa na Ofisi ya Spika.
(3) Majukumu ya Kamati;
(a) Kuchuguza masuala yote yahusiyo Haki,
Kinga na
10
Madaraka ya Bunge yanayopelekwa kwake na
Spika;
(b) Kushughulikia mambo yanayohusu Maadili ya
Wabunge;
(c) Kufikiria jambo lingine lolote litakalopelewa
kwake na Spika
Yani nyie watu.. To you everything is about ccm and opposition! Acheni upumbavu wenu wa lumumba kila kitu lazima mtetee kwa ushabiki wa kichama, ifike pahali issue zingine tusimame kama watanzania na kujadili mambo kwa weledi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni wakati gani CAG anakuwa CAG ni wakati gani anakuwa ni mtu binafsi?
Je comments zake zilitokana na ripoti ya ukaguzi wa bunge au ni maoni yake binafsi?
Je katiba inakataza CAG asihojiwe na bunge kwa issues zipi ?
Maswali ya msingi sana haya. Si kwa CAG tu...wengine pia...Rais, Spika, etc.
 
CAG anao ushahidi wa mapendekezo yake kutozingatiwa na bunge?Nadhani ndicho alichokihoji au anachitaka kukijua ndugai.
Ndugu yangu hata kama unajiita jinga lakini ninahakika unaakili japo kidogo. Basi angalau siku moja jithidi tu kujua kuwa Taifa ni mhimu kuliko itikadi. Nchi hii imedumaa kwa sababu ya watu kama nyie mnaodhani CCM na yote yanayofanywa na CCM ndio sahihi. Bahati mbaya hii cancer imemea mpaka kwa hao Kina Supika na Mpaka juu kwa Raia no 01. CAG alisema ukweli kabisa hata me layman naona mfano rahisi tu ni 1.5T kuyeyuka kisha tunaletewa magazijuto na kila Pole slow. Limekuwa bunge la kujipendekeza na kupongeza tu. Walimpongeza mkuu kwa kumdhalilisha PM kwenye issue ya ununuzi wa korosho Leo inageuka janga kwa nchi. Ninahakika hata hiki kikokotoo ambacho alikipitisha kwa mikono yake kisha kafuta baada ya kuona zile asilimia za Twashindwa zimekwisha kabisa akafuta wangekuwa in session ningekuwa ni mwendo wa kupongeza tu. Jamani amkeni nchi hii tunashangaa babu zetu waliwezaje kukubali kuwa chini ya ukoloni lakini yanayofanyika now chini ya CCM tunapakia kuwekwa kwenye jumba la maonesho
 
Back
Top Bottom