OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,086
- 103,316
Huyu Zitto huyu kwa ukweli!!!
Za CCM ndio uozo kabisaAkili za kichadema hizi .
Hovyo kabisa
Kasahau Xhato Airport na Flyover
Hela ya Maduhuli, ingetosha vifaa vya uokozi!Wanachojua kuchoma hela na NEC kisha uchaguzi jina!
Well said brother
Mandege yalikua kiki za kisiasa tu,,Amesema Ukweli Mkuu ,hapa ndipo Watu watahoji hayo Mandege yalikuwa ndio kipaumbele au ni kiki tu za Kisiasa ?..