Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 471
Kama mwanasiasa mwenzangu nakupa pole(THE YUDA OF OUR TIMES)nilitamani nikuokoe na zomea zomea ya leo Katoro na Geita mjini.Mara kadhaa huwa nafikiri juu ya political intelligence yako na that genius in you.
Katoro ulipanic sana baada ya kuulizwa u double standard wako kwenye siasa za nchi hii,ukakasirika,ukashuka jukwaani,ukazomewa,ukalowana.
Kilichokuponza Geita mjini ni kuitaja chadema kama mkia na kwamba wewe ni ng'ombe hivyo huwezi kutikiswa na mkia."why brother!!!kwa nini ukosoe tumaini la wa Tanzania!!!are you not scared of the dangers you might face!!!""nashukuru uwepo wa jeshi la Polisi.Kule uendako usirudie tena kuitaja chadema negatively....usije kusema sijakuonya.
Katoro ulipanic sana baada ya kuulizwa u double standard wako kwenye siasa za nchi hii,ukakasirika,ukashuka jukwaani,ukazomewa,ukalowana.
Kilichokuponza Geita mjini ni kuitaja chadema kama mkia na kwamba wewe ni ng'ombe hivyo huwezi kutikiswa na mkia."why brother!!!kwa nini ukosoe tumaini la wa Tanzania!!!are you not scared of the dangers you might face!!!""nashukuru uwepo wa jeshi la Polisi.Kule uendako usirudie tena kuitaja chadema negatively....usije kusema sijakuonya.