taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
na mara nyingi wapumbavu sana huwaona wapumbavu kidogo ndio wapumbavu wa kutupa.wenye subira tunamsubria hakimu wa haki[muda]huwa haongopiWajinga hufanikiwa kwa kupata wafuasi wenye akili kama wao. Kama angalau unajua mambo ya aeiou, soma relay mojawapo ya gari lako ilitengenezwa mwaka gani, linganisha na mwaka wa gari lako. Utaiona ignorance yako. Dreamliner ilianza kutengenezwa lini? Vioo vya dreamliner ya 2018 vinatofautiana na vile vya 2011? Msikilize Zitto kama unaona kagundua mbinu mpya za kuunda ndege. Muko wote kwenye himaya ya wapumbavu.