Zitto: Tutazungumza na waandishi kuweka wazi mpango wa Serikali na Bunge kuzuia Bunge kujadili taarifa ya ukaguzi maalumu wa trilioni 1.5

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,011
144,371
Zitto kabwe

Tutazungumza na press kuweka wazi mpango wa Serikali na Bunge kuzuia Bunge kujadili hoja hii. Taarifa ya Ukaguzi Maalumu imeonyesha madudu makubwa Katika usimamizi wa fedha za umma. Serikali ya@MagufuliJP imefanya ubadhirifu wa kutisha na Spika anazuia Taarifa isije Bungeni

Zitto Kabwe

Hoja ya Tshs 1.5T Katika Taarifa ya CAG ya 2016/17 ni ubadhirifu mkubwa haijapata kutokea nchini. Spika wa @bunge_tz Job Ndugai amepokea Taarifa ya ukaguzi maalumu na amegoma kuipeleka Kamati ya PAC ili iingizwe Bungeni. Spika amezuia Kamati ya PAC kufanya kazi sababu ya 1.5T

Chanzo:Ukurasa wake wa twitter.
 
Tutazungumza na press kuweka wazi mpango wa Serikali na Bunge kuzuia Bunge kujadili hoja hii. Taarifa ya Ukaguzi Maalumu imeonyesha madudu makubwa Katika usimamizi wa fedha za umma. Serikali ya@MagufuliJP imefanya ubadhirifu wa kutisha na Spika anazuia Taarifa isije Bungeni

Zitto Kabwe Ruyagwa

Hoja ya Tshs 1.5T Katika Taarifa ya CAG ya 2016/17 ni ubadhirifu mkubwa haijapata kutokea nchini. Spika wa @bunge_tz Job Ndugai amepokea Taarifa ya ukaguzi maalumu na amegoma kuipeleka Kamati ya PAC ili iingizwe Bungeni. Spika amezuia Kamati ya PAC kufanya kazi sababu ya 1.5T
Zitto kaanza na mguu wa kushoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tutazungumza na press kuweka wazi mpango wa Serikali na Bunge kuzuia Bunge kujadili hoja hii. Taarifa ya Ukaguzi Maalumu imeonyesha madudu makubwa Katika usimamizi wa fedha za umma. Serikali ya@MagufuliJP imefanya ubadhirifu wa kutisha na Spika anazuia Taarifa isije Bungeni

Zitto Kabwe Ruyagwa

Hoja ya Tshs 1.5T Katika Taarifa ya CAG ya 2016/17 ni ubadhirifu mkubwa haijapata kutokea nchini. Spika wa @bunge_tz Job Ndugai amepokea Taarifa ya ukaguzi maalumu na amegoma kuipeleka Kamati ya PAC ili iingizwe Bungeni. Spika amezuia Kamati ya PAC kufanya kazi sababu ya 1.5T

Hapohapooo patamu. Wakaze buti hapohapo.. 😂😂
 
Zitto kabwe

Tutazungumza na press kuweka wazi mpango wa Serikali na Bunge kuzuia Bunge kujadili hoja hii. Taarifa ya Ukaguzi Maalumu imeonyesha madudu makubwa Katika usimamizi wa fedha za umma. Serikali ya@MagufuliJP imefanya ubadhirifu wa kutisha na Spika anazuia Taarifa isije Bungeni

Zitto Kabwe

Hoja ya Tshs 1.5T Katika Taarifa ya CAG ya 2016/17 ni ubadhirifu mkubwa haijapata kutokea nchini. Spika wa @bunge_tz Job Ndugai amepokea Taarifa ya ukaguzi maalumu na amegoma kuipeleka Kamati ya PAC ili iingizwe Bungeni. Spika amezuia Kamati ya PAC kufanya kazi sababu ya 1.5T
Watu wa Kigoma ujiji ni wabishi wabishi sana!
 
Back
Top Bottom