ZITTO: Tumeshampendekeza Mrithi wa Maalim

Wasije wakajichanganya tena wakatuletea mwarabu.Huyo hatakuja kuwa rais wa Zanzibar.
Maalim hakuweza kupewa urais kwa sababu alikuwa mwarabu.Msimamo huo ni sahihi kabisa kwa sababu mweusi kama miye siwezi kupewa hata uwenyekiti wa kitongoji tu huko uarabuni.
Ilikuwaje sasa huyu Muarabu akiwa CCM alipewa uwaziri kiongozi? Au Uarabu aliupata akiwa Upinzani?
 
Back
Top Bottom