Brother Kaka
Member
- Jun 11, 2013
- 90
- 54
Chama cha ACT Wazalendo ni mali ya Zitto Kabwe. Hivyo kutoa hilo tamko ni sahihiTamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Chama cha ACT Wazalendo ni mali ya Zitto Kabwe. Hivyo kutoa hilo tamko ni sahihiTamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Hapana tumepeleka jina moja tu ila tumeliandika mara 3.,Majina bila shaka yametumwa matatu kisha prezida atatoa mmoja miongoni mwao
Mbona jina la rais wa zanzibar linatokea DOM!!Tamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Zanzibar inaongozwa kutokea bara bwashee.Tamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Inafurahisha kwamba kabla ya kufa marehemu tayari alikuwa na jina lake mfukoni la yule atakaekuja kumrithi.Oh yes, I strongly concur with you!
Mazrui fits the bill. Mazrui is a good and responsible person. Anajielewa na kujitambua, alifanya kazi za chama kwa karibu sana na Maalim Seif RIP.
Anyway, pamoja na hivyo hatujui Maalim Seif alimpendekeza nani, na kwa vyovyote pendekezo lake litaheshimiwa.
Nami naona hivyo.Babu Duni ndani ya mjengo
Mkuu inakuwaje Jussa hatajwi sana wakati tunamuona ana potential kubwa..... Hata Lowassa ndiye alimtaka awe mgombea mwenza 2015! Hta Kina Lissu walimuomba agombee ubunge sio uwakilishi 2015 ili aingie kwenye siasa za kitaifa.Hapana tumepeleka jina moja tu ila tumeliandika mara 3.,
Zitto ndiye Kiongozi Mkuu wa Chama wanamwita Ayatolla Zitto Zubeir KabweTamko hakutakuwa atoe Zitto Kabwe lilitakiwa kutolewa na viongozi wa ACT wazalendo wa Upande wa Zanzibar.
Jussa mkuu wamemvunja miguu hujamuona kwenye kigari wakati wa maziko ya maalim? atafanyaje kazi kama haja recover vizuri?Mkuu inakuwaje Jussa hatajwi sana wakati tunamuona ana potential kubwa..... Hata Lowassa ndiye alimtaka awe mgombea mwenza 2015! Hta Kina Lissu walimuomba agombee ubunge sio uwakilishi 2015 ili aingie kwenye siasa za kitaifa.
Kina Mazrui na Duni ni sawa lakini sio future ya ACT watakuwa wazee sana.... Ilipaswa apatikane ''kijana'' ili aongoze kwa miaka 10-15 ijayo chama kiimarike.
Leo ndio nimeamini kwamba kumbe kila binadamu amezaliwa na a unique analytical mind! Kwani tunacho bishana hapa ni nini hasa!! Kwamba a glass half full na a glass half empty ni vitu viwili tofauti, wakati ukweli wa mambo ni kitu kile kile, inategemea perception ya muhusika anavyo lichukulia.I was cool headed then and I am right now.
Hata kama hujasema maoni yako ndio final, ila fact ni kwamba maoni yako is not important today, now I mean. Jina lishapelekwa be is Mazrui's or somebody else.
Nope. Ni babu Duni.Ni Jussa
Binafsi naona Mazrui fits the bill - mkinoa hapo ndio basi tena.Haji Duni ?
Ni CCM BACT ni CCM?
Wasije wakajichanganya tena wakatuletea mwarabu.Huyo hatakuja kuwa rais wa Zanzibar.
Maalim hakuweza kupewa urais kwa sababu alikuwa mwarabu.Msimamo huo ni sahihi kabisa kwa sababu mweusi kama miye siwezi kupewa hata uwenyekiti wa kitongoji tu huko uarabuni.