Zitto: Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients and deaths is very important in dealing with the Corona

Zitto una hoja nzuri ila unapenda kuigaiga sana...Halafu nikukumbushe sababu ya hali kuwa hivyo Ujerumani ni kuwa hawahesabu vifo vya coronavirus kama mgonjwa alikuwa na magonjwa mengine. Ni hayo tu.
 
Ya namna ya kutatua ugonjwa huu wa mazingira tuliyonayo. Ili kwamba tusifuate fikra za kikoloni.

1. Kuzuia wagonjwa kwa kuwaweka karantini hii yaitwa contain
Hivyo wagonjwa wapo wanaangaliwa maendeleo ya ugonjwa na ikiwa watapambana ndani ya siku 14 wataendelea kufanyiwa vipimo kabla ya kuwa clear.

Hii ya "containing" haiwezi kufanyika kwa mazingira ya nchi yetu na ndo maana wanachi wanashauriwa kunawa mikono na kutumia vitakasa mikono kila mara.

Pia huwezi kuzuia shughuli zingine za kiuchumi zisimame na ndo maana hata kule kwenye minada watu wanapiga kazi na wanahimizana kunawa mikono.

Haya mafua ya Corona si mabaya sana kulinganisha na mafua ya SARS.

Ni kutokana na hivyo basi nchi nyingi ambazo zilikumbwa na ugonjwa wa SARS zimetumia mbinu zilezile za kukabiliana an ugonjwa huu wa mafua wa Corona.

Nchi hizo ni Taiwan, Singapore, Korea Kusini, Hong Kong na Japan.

Hivyo Tanzania haiwezi kuzisikiiza nchi kama Uingereza au marekani mbazo zenyewe zinakabiliana na tatizo la Corona pamoja tatizo la raia wake kukataa kutii amari ya kuttembea mitaani mpaka wanapotishiwa kwa sheria ambazo wanaziita "Draconian rules"

Isipokuwa itafuata Model yake ya mfumo wake wa Afya na utoaji na upashaji taarifa ambapo mpaka sasa tunamsikiliza waziri wa Afya Ummy Mwalimu.

Hivyo wizara ya afya itatoa ushauri kwa wananchi na itatoa taarifa mpya kila zinapopatikana.
 
A Letter to My President, John Magufuli of Tanzania

Zitto Kabwe
13 hours ago
letter-to-Magufuli-1000x522.jpg

President Jacob Zuma (not seen) and Tanzanian President John Magufuli during the bilateral meeting held on the sidelines of the 28th Ordinary Session of the Assembly of Heads of State and Government of the African Union in Addis Ababa, Ethiopia under the the theme: Harnessing the Demographic Devidend through Investment in Youth. 31/01/2017 GCIS


AddThis Website Tools

Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients, and deaths is very important in dealing with the coronavirus. There is no need for us to revert to secrecy.

Dear President Magufuli,

As I write this, the Covid-19 pandemic has caused more than 31 500 deaths from the more than 678,000 people infected worldwide. Throughout the world, health systems have been overwhelmed and the global economy is moving rapidly towards recession. And this is still before we reach the peak of the pandemic in the majority of countries.

Many countries around the world have had to take stern and stringent measures to address the virus. This includes many of our counterparts within the East Africa Community. Tanzania has taken some important steps such as a call to reduce unnecessary gatherings, encouraging frequent handwashing, and the establishment of three Cabinet committees to respond to the situation. Unfortunately, and given the gravity of the situation we face, these measures are grossly insufficient.

Tanzania faces many challenges in its attempt to manage this pandemic, including a weak economy and historically inadequate investments in the health sector. Official government figures show that our country has very few ICU spaces and those that exist are already oversubscribed. We have limited equipment for treating coronavirus patients, such as ventilators and personal protective kits for healthcare providers.

Human resources in the health sector are insufficient, with a deficit of over 150,000 health workers. Those working on the health frontline will need additional support to prepare them for the pandemic. Lastly and of extreme concern, Tanzania has a population of 1.6 million immune-compromised individuals (those living with HIV/AIDS and other “underlying conditions”). Additional steps must be taken to protect these most vulnerable citizens.

Given these weaknesses and challenges, the only route for us to take is that of PREVENTION.

As leader of an opposition party in Tanzania, a member of parliament, and a citizen, it is my duty to share with you and with the public what I deem to be the necessary steps that have to be taken in order to protect our country, flatten the curve and manage the impact of this global pandemic on our nation.

Firstly, national unity and solidarity on this issue is key. The coronavirus does not care about political party ideology, religion, tribe or race. It will strike us all. As leader of the country, the president has the power and the responsibility to bring us together as a nation and to provide a clear and just way forward. It is therefore imperative to bring together all political parties, religious institutions, civil societies and other groups, to jointly agree on how to protect ourselves as a nation, prevent the spread of the virus and mitigate the effects on the most vulnerable in our society.

The role of science in managing the pandemic and mitigating its effects is vital. Therefore, please provide an opportunity for health professionals to guide us in the fight against Covid-19. Words that leaders speak to the public and decisions made must follow the advice of experts rather than personal beliefs or ideas. We need to listen to science. And one of the things that science is telling us is that testing is necessary.

Countries like Germany have been able to keep the mortality rate from Covid-19 low (less than 1%) due to massive public testing. According to data provided by the Tanzanian Ministry of Health, we have only used 10% of the test kits provided to us. Our government reports show that out of 39,000 visitors who entered the country from Covid-19-affected countries, only 273 were tested. Why is this the case? Why are we not testing more, and if we are, why are we not sharing the results of those tests?

Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients, and deaths is very important in dealing with the coronavirus. There is no need for us to revert to secrecy. Talk to your citizens more often, provide them with up to date and honest information, and when you are doing so, make sure the Chief Medical Officer is available to provide technical information. There is a room for politics, and there is a room for technical expertise and leadership.

The government has taken appropriate measures in closing down schools and colleges across the country to prevent infections. However, what message do we send out to the public and especially to our children when they see they are not in school but leaders continue to address crowds of people? What picture do they get when they see you, Mr President, personally going on with large and public meetings? Steps should be taken to suspend all government meetings, including Parliament. Parliament can postpone proceedings from April to May, and courts can also do the same.

The public prosecutor should release on bail all those remanded with bailable offences and those whose cases are still pending investigation, in order to reduce congestion and potential infections in prisons. We should make particular considerations for vulnerable prisoners, such as those above the age of 65, those with severe underlying conditions, pregnant prisoners and those in prison with small children. They should be released to complete their detention at home or to await the completion of the investigations of their cases. Times such as these require decisions that heal the nation.

In any case, our country cannot continue with “business as usual” at this time. I am aware of the devastating economic and personal consequences to our people if we restrict our daily activities, but I do believe that creative solutions can be found. For example, we could prevent overcrowding of public transport services by ordering the defence force, the police and even private individuals to provide uncongested transport to the public. It is paramount that people strictly observe social distancing by limiting their movements outside the home and by avoiding gatherings. Borders must be closed and everyone entering the country must be tested at point of entry, isolated and monitored.

The steps we will take to prevent the pandemic will affect our economy. Even without these measures, some sectors of the economy have already begun to suffer from the outbreak of the virus. I would therefore advise that a special team be formed of leading economists from within and outside of government, to conduct an in-depth analysis of our situation and to propose measures that need to be taken. An economic stimulus package to protect jobs, support vulnerable people like elders and caregivers, and revamp the economy will definitely be needed. The package needs to be well thought through and inclusive.

Finally, I wish you well in leading our country out of this great challenge. ACT Wazalendo and I will be ready to offer our cooperation to all Tanzanians in order to protect our country and save the lives of fellow Tanzanians.
Zitto Ni wewe uliyeandika kuhusu Prof Dr. Janabi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
A Letter to My President, John Magufuli of Tanzania

Zitto Kabwe
13 hours ago
letter-to-Magufuli-1000x522.jpg

President Jacob Zuma (not seen) and Tanzanian President John Magufuli during the bilateral meeting held on the sidelines of the 28th Ordinary Session of the Assembly of Heads of State and Government of the African Union in Addis Ababa, Ethiopia under the the theme: Harnessing the Demographic Devidend through Investment in Youth. 31/01/2017 GCIS


AddThis Website Tools

Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients, and deaths is very important in dealing with the coronavirus. There is no need for us to revert to secrecy.

Dear President Magufuli,

As I write this, the Covid-19 pandemic has caused more than 31 500 deaths from the more than 678,000 people infected worldwide. Throughout the world, health systems have been overwhelmed and the global economy is moving rapidly towards recession. And this is still before we reach the peak of the pandemic in the majority of countries.

Many countries around the world have had to take stern and stringent measures to address the virus. This includes many of our counterparts within the East Africa Community. Tanzania has taken some important steps such as a call to reduce unnecessary gatherings, encouraging frequent handwashing, and the establishment of three Cabinet committees to respond to the situation. Unfortunately, and given the gravity of the situation we face, these measures are grossly insufficient.

Tanzania faces many challenges in its attempt to manage this pandemic, including a weak economy and historically inadequate investments in the health sector. Official government figures show that our country has very few ICU spaces and those that exist are already oversubscribed. We have limited equipment for treating coronavirus patients, such as ventilators and personal protective kits for healthcare providers.

Human resources in the health sector are insufficient, with a deficit of over 150,000 health workers. Those working on the health frontline will need additional support to prepare them for the pandemic. Lastly and of extreme concern, Tanzania has a population of 1.6 million immune-compromised individuals (those living with HIV/AIDS and other “underlying conditions”). Additional steps must be taken to protect these most vulnerable citizens.

Given these weaknesses and challenges, the only route for us to take is that of PREVENTION.

As leader of an opposition party in Tanzania, a member of parliament, and a citizen, it is my duty to share with you and with the public what I deem to be the necessary steps that have to be taken in order to protect our country, flatten the curve and manage the impact of this global pandemic on our nation.

Firstly, national unity and solidarity on this issue is key. The coronavirus does not care about political party ideology, religion, tribe or race. It will strike us all. As leader of the country, the president has the power and the responsibility to bring us together as a nation and to provide a clear and just way forward. It is therefore imperative to bring together all political parties, religious institutions, civil societies and other groups, to jointly agree on how to protect ourselves as a nation, prevent the spread of the virus and mitigate the effects on the most vulnerable in our society.

The role of science in managing the pandemic and mitigating its effects is vital. Therefore, please provide an opportunity for health professionals to guide us in the fight against Covid-19. Words that leaders speak to the public and decisions made must follow the advice of experts rather than personal beliefs or ideas. We need to listen to science. And one of the things that science is telling us is that testing is necessary.

Countries like Germany have been able to keep the mortality rate from Covid-19 low (less than 1%) due to massive public testing. According to data provided by the Tanzanian Ministry of Health, we have only used 10% of the test kits provided to us. Our government reports show that out of 39,000 visitors who entered the country from Covid-19-affected countries, only 273 were tested. Why is this the case? Why are we not testing more, and if we are, why are we not sharing the results of those tests?

Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients, and deaths is very important in dealing with the coronavirus. There is no need for us to revert to secrecy. Talk to your citizens more often, provide them with up to date and honest information, and when you are doing so, make sure the Chief Medical Officer is available to provide technical information. There is a room for politics, and there is a room for technical expertise and leadership.

The government has taken appropriate measures in closing down schools and colleges across the country to prevent infections. However, what message do we send out to the public and especially to our children when they see they are not in school but leaders continue to address crowds of people? What picture do they get when they see you, Mr President, personally going on with large and public meetings? Steps should be taken to suspend all government meetings, including Parliament. Parliament can postpone proceedings from April to May, and courts can also do the same.

The public prosecutor should release on bail all those remanded with bailable offences and those whose cases are still pending investigation, in order to reduce congestion and potential infections in prisons. We should make particular considerations for vulnerable prisoners, such as those above the age of 65, those with severe underlying conditions, pregnant prisoners and those in prison with small children. They should be released to complete their detention at home or to await the completion of the investigations of their cases. Times such as these require decisions that heal the nation.

In any case, our country cannot continue with “business as usual” at this time. I am aware of the devastating economic and personal consequences to our people if we restrict our daily activities, but I do believe that creative solutions can be found. For example, we could prevent overcrowding of public transport services by ordering the defence force, the police and even private individuals to provide uncongested transport to the public. It is paramount that people strictly observe social distancing by limiting their movements outside the home and by avoiding gatherings. Borders must be closed and everyone entering the country must be tested at point of entry, isolated and monitored.

The steps we will take to prevent the pandemic will affect our economy. Even without these measures, some sectors of the economy have already begun to suffer from the outbreak of the virus. I would therefore advise that a special team be formed of leading economists from within and outside of government, to conduct an in-depth analysis of our situation and to propose measures that need to be taken. An economic stimulus package to protect jobs, support vulnerable people like elders and caregivers, and revamp the economy will definitely be needed. The package needs to be well thought through and inclusive.

Finally, I wish you well in leading our country out of this great challenge. ACT Wazalendo and I will be ready to offer our cooperation to all Tanzanians in order to protect our country and save the lives of fellow Tanzanians.
Sina Shaka kabisa kuwa kwa kuwa barua hi imeandikwa kwa kiingereza imekuwa copied kwa mabeberu
 
Tayari Corona imekuwa agenda ya kupigia siasa!

Mara stimulus package kwenye sector ya utalii ndo kipaumbele mara transparency international!
 
Source: Daily Maverick.co.za

A Letter to My President, John Magufuli of Tanzania

Zitto Kabwe
13 hours ago
letter-to-Magufuli-1000x522.jpg

President Jacob Zuma (not seen) and Tanzanian President John Magufuli during the bilateral meeting held on the sidelines of the 28th Ordinary Session of the Assembly of Heads of State and Government of the African Union in Addis Ababa, Ethiopia under the the theme: Harnessing the Demographic Devidend through Investment in Youth. 31/01/2017 GCIS


AddThis Website Tools

Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients, and deaths is very important in dealing with the coronavirus. There is no need for us to revert to secrecy.

Dear President Magufuli,

As I write this, the Covid-19 pandemic has caused more than 31 500 deaths from the more than 678,000 people infected worldwide. Throughout the world, health systems have been overwhelmed and the global economy is moving rapidly towards recession. And this is still before we reach the peak of the pandemic in the majority of countries.

Many countries around the world have had to take stern and stringent measures to address the virus. This includes many of our counterparts within the East Africa Community. Tanzania has taken some important steps such as a call to reduce unnecessary gatherings, encouraging frequent handwashing, and the establishment of three Cabinet committees to respond to the situation. Unfortunately, and given the gravity of the situation we face, these measures are grossly insufficient.

Tanzania faces many challenges in its attempt to manage this pandemic, including a weak economy and historically inadequate investments in the health sector. Official government figures show that our country has very few ICU spaces and those that exist are already oversubscribed. We have limited equipment for treating coronavirus patients, such as ventilators and personal protective kits for healthcare providers.

Human resources in the health sector are insufficient, with a deficit of over 150,000 health workers. Those working on the health frontline will need additional support to prepare them for the pandemic. Lastly and of extreme concern, Tanzania has a population of 1.6 million immune-compromised individuals (those living with HIV/AIDS and other “underlying conditions”). Additional steps must be taken to protect these most vulnerable citizens.

Given these weaknesses and challenges, the only route for us to take is that of PREVENTION.

As leader of an opposition party in Tanzania, a member of parliament, and a citizen, it is my duty to share with you and with the public what I deem to be the necessary steps that have to be taken in order to protect our country, flatten the curve and manage the impact of this global pandemic on our nation.

Firstly, national unity and solidarity on this issue is key. The coronavirus does not care about political party ideology, religion, tribe or race. It will strike us all. As leader of the country, the president has the power and the responsibility to bring us together as a nation and to provide a clear and just way forward. It is therefore imperative to bring together all political parties, religious institutions, civil societies and other groups, to jointly agree on how to protect ourselves as a nation, prevent the spread of the virus and mitigate the effects on the most vulnerable in our society.

The role of science in managing the pandemic and mitigating its effects is vital. Therefore, please provide an opportunity for health professionals to guide us in the fight against Covid-19. Words that leaders speak to the public and decisions made must follow the advice of experts rather than personal beliefs or ideas. We need to listen to science. And one of the things that science is telling us is that testing is necessary.

Countries like Germany have been able to keep the mortality rate from Covid-19 low (less than 1%) due to massive public testing. According to data provided by the Tanzanian Ministry of Health, we have only used 10% of the test kits provided to us. Our government reports show that out of 39,000 visitors who entered the country from Covid-19-affected countries, only 273 were tested. Why is this the case? Why are we not testing more, and if we are, why are we not sharing the results of those tests?

Transparency on data regarding current infections, new infections, critical patients, and deaths is very important in dealing with the coronavirus. There is no need for us to revert to secrecy. Talk to your citizens more often, provide them with up to date and honest information, and when you are doing so, make sure the Chief Medical Officer is available to provide technical information. There is a room for politics, and there is a room for technical expertise and leadership.

The government has taken appropriate measures in closing down schools and colleges across the country to prevent infections. However, what message do we send out to the public and especially to our children when they see they are not in school but leaders continue to address crowds of people? What picture do they get when they see you, Mr President, personally going on with large and public meetings? Steps should be taken to suspend all government meetings, including Parliament. Parliament can postpone proceedings from April to May, and courts can also do the same.

The public prosecutor should release on bail all those remanded with bailable offences and those whose cases are still pending investigation, in order to reduce congestion and potential infections in prisons. We should make particular considerations for vulnerable prisoners, such as those above the age of 65, those with severe underlying conditions, pregnant prisoners and those in prison with small children. They should be released to complete their detention at home or to await the completion of the investigations of their cases. Times such as these require decisions that heal the nation.

In any case, our country cannot continue with “business as usual” at this time. I am aware of the devastating economic and personal consequences to our people if we restrict our daily activities, but I do believe that creative solutions can be found. For example, we could prevent overcrowding of public transport services by ordering the defence force, the police and even private individuals to provide uncongested transport to the public. It is paramount that people strictly observe social distancing by limiting their movements outside the home and by avoiding gatherings. Borders must be closed and everyone entering the country must be tested at point of entry, isolated and monitored.

The steps we will take to prevent the pandemic will affect our economy. Even without these measures, some sectors of the economy have already begun to suffer from the outbreak of the virus. I would therefore advise that a special team be formed of leading economists from within and outside of government, to conduct an in-depth analysis of our situation and to propose measures that need to be taken. An economic stimulus package to protect jobs, support vulnerable people like elders and caregivers, and revamp the economy will definitely be needed. The package needs to be well thought through and inclusive.

Finally, I wish you well in leading our country out of this great challenge. ACT Wazalendo and I will be ready to offer our cooperation to all Tanzanians in order to protect our country and save the lives of fellow Tanzanians.
Zitto Mheshimiwa hii barua kweli ulikusudia kumwandikia Mh Raisi wetu au umewaandikia Walimwengu? Kwanini usitumie tuu lugha yetu ya nyumbani?
 
Tayari Corona imekuwa agenda ya kupigia siasa!

Mara stimulus package kwenye sector ya utalii ndo kipaumbele mara transparency international!


Yaani wanazungumzia "Stimulus Package" ambazo ni nchi zilizoendelea tu ndizo zaweza kutenga fedha kama hizo kukingana na uchumi wao.

Ndo maana katika wanasiasa wajinga kabisa kuwahi kutokea nchini Tanzania Zitto Kabwe ni mmoja wao.
 
Zitto una hoja nzuri ila unapenda kuigaiga sana...Halafu nikukumbushe sababu ya hali kuwa hivyo Ujerumani ni kuwa hawahesabu vifo vya coronavirus kama mgonjwa alikuwa na magonjwa mengine. Ni hayo tu.
Japo nakubaliana na sehemu kubwa ya ushauri wa Zitto kwenye barua yake. Hila wana tabia za kusoma vichwa vya habari na kuchukua hizo sehemu kama mifano ya mafanikio bila ya kuangalia factor zingine mbali mbali kwanini sehemu fulani rate ya vifo ndogo.

Muhimu kuelewa rate of spread zinatofautiana ambapo Germany bado ipo nyuma hila na yenyewe inatabiriwa itawafikia tu wenzake kutokana na taratibu za Corona yeye anakwenda na mdumange wake iwapo awatachukua kama za wenzao kwenye kucheza nae.

Pili kuna swala la data sahihi za vifo. Leo ufaransa wamekuwa accussed kwa kuto jumuisha vifo vinavyotokea kwenye care homes za wazee wakati unaambiwa humo kuna nyumba luluki sasa zipo empty corona kaondoka na wazee, wamekiri na kujidai wana tengeneza system itakayo wajumuisha ina maana idadi yao ya vifo is distorted sio ya ukweli.

Huko kwenye nchi kama China na Asia ndio kabisa data zao sio za kuziamini kwa sana.

Put it this way the NHS ya UK has been voted the best health care system in the world in terms of planning, wider coverage and quality of service delivery for like ten years straight. Na kwa sasa wana wasiwasi juu ya uwezo wao kwenye kuhudumia wagonjwa wa Corona wakati bado awajazidiwa kama ilivyo Italy au Spain kwenye utoaji huduma. Makelele yote na hizi hatua serikari yao inazochukua ni kutambua wao sio special na Corona anaenda kwa mdundo wake ambao lazima ueshimike wanayokutana nayo wenzao na kwao pia itafika.

Sasa badala ya kujiaminisha sijui nani kafanikiwa kwa kupima sana etc sidhani kama inasaidia; hila busara ni kumueshimu Corona kwa namna anvyosambaa na kujaribu ku manipulate hayo mazingira kupunguza spread vinginevyo ni hatari tu kwa nchi maskini kama Tanzania.
 
For my self I agree with you Honourable Zitto Kabwe , God bless you.

A big salute to Hon. Zitto Zuberi Kabwe. The problem is, we have a President who never listens any advice from.anybody especially from opposition leaders..!
This is a calamity to our country.
God bless Tanzania.
 
Japo nakubaliana na sehemu kubwa ya ushauri wa Zitto kwenye barua yake. Hila wana tabia za kusoma vichwa vya habari na kuchukua hizo sehemu kama sehemu ya mafanikio bila ya kuangalia factor zingine mbali mbali kwanini sehemu fulani rate ya vifo ndogo.

Achilia tofauti ya rate of spread kutofautiana ambapo Germany bado ipo nyuma hila na yenyewe inatabiriwa itawafikia tu wenzake kutokana na taratibu za Corona iwapo awatachukua kama za wenzao.

Pili kuna swala la data sahihi za vifo. Leo ufaransa wamekuwa accussed kwa kuto jumuisha vifo vinavyotokea kwenye care homes za wazee wakati unaambiwa humo kuna nyumba luluki sasa zipo empty corona kaondoka na wazee, leo ndio wamekiri na kujidai wana tengeneza system itakayo wakuta.

Hizi nchi kama China na Asia ndio kabisa sio za kuziamini kwa sana data zao. Put it this way the NHS ya UK has been voted the best health care system in the world in terms of planning and service delivery for like ten years running. Na wana wasiwasi wakati bado awajazidiwa kama ilivyo Italy au Spain kwenye utoaji huduma makelele yote ni kutambua wao sio special na Corona anaenda kwa mdundo wake ambao lazima ueshimike wanayokutana nayo wenzao na kwao pia itafika.

Badala ya kujiaminisha sijui nani kafanikiwa kwa kupima sana etc sidhani kama inasaidia; hila busara ni kumueshimu Corona kwa namna anvyosambaa na kujaribu ku manipulate hayo mazingira kupunguza spread vinginevyo ni hatari tu.

Very True
 
Ana hoja za msingi, Ila kuna watu utakuta hata hawajasoma, kisa wameona tu jina ni kutoka kwa Zitto basi wameshaanza attack his personality in politics and not his attitude on the pandemic outbreak.

Ndugu yangu Mimi naona issue hapa seeI kwamba imetoka kwa Zitto!!Issue hapa kwa Mataga wengi Ni lugha!
Nashauri Mhe. Zitto aandike na ya Kiswahili ili tuongee lugha moja..!
Hata huyo mlengwa Sina hakika Kama atamwelewa Zitto...!!!
Tayari K/kuna Lumumbas wanadai na kumwona Mhe. Zitto ana fikra za Kikoloni kwa vile tu katumia Kiingereza kufikisha ujumbe wake...!!

Not Yet UHURU- By Ngugi wa Thiongo!
 
Japo nakubaliana na sehemu kubwa ya ushauri wa Zitto kwenye barua yake. Hila wana tabia za kusoma vichwa vya habari na kuchukua hizo sehemu kama sehemu ya mafanikio bila ya kuangalia factor zingine mbali mbali kwanini sehemu fulani rate ya vifo ndogo.

Muhimu kuelewa rate of spread zinatofautiana ambapo Germany bado ipo nyuma hila na yenyewe inatabiriwa itawafikia tu wenzake kutokana na taratibu za Corona yeye anakwenda na mdumange wake iwapo awatachukua kama za wenzao kwenye kucheza nae.

Pili kuna swala la data sahihi za vifo. Leo ufaransa wamekuwa accussed kwa kuto jumuisha vifo vinavyotokea kwenye care homes za wazee wakati unaambiwa humo kuna nyumba luluki sasa zipo empty corona kaondoka na wazee, leo ndio wamekiri na kujidai wana tengeneza system itakayo wajumuisha ina maana idadi yao ya vifo is distorted sio ya ukweli.

Huko kwenye nchi kama China na Asia ndio kabisa data zao sio za kuziamini kwa sana.

Put it this way the NHS ya UK has been voted the best health care system in the world in terms of planning, wider coverage and quality of service delivery for like ten years straight. Na kwa sasa wana wasiwasi wa uwezo wao kwenye kuhudumia wagonjwa wa Corona wakati bado awajazidiwa kama ilivyo Italy au Spain kwenye utoaji huduma. Makelele yote na hizi hatua serikari yao inazochukua ni kutambua wao sio special na Corona anaenda kwa mdundo wake ambao lazima ueshimike wanayokutana nayo wenzao na kwao pia itafika.

Sasa badala ya kujiaminisha sijui nani kafanikiwa kwa kupima sana etc sidhani kama inasaidia; hila busara ni kumueshimu Corona kwa namna anvyosambaa na kujaribu ku manipulate hayo mazingira kupunguza spread vinginevyo ni hatari tu kwa nchi maskini kama Tanzania.

Uko sahihi kabisa ila kwenye suala la kuamini zipi ni taarifa sahihi bado hizi nchi nilizozitaja hapo juu, yaani Taiwan, Singapore, Korea Kusini na zingine nazo mifumo yao ya Afya imejaribu sana kupunguza kasi ya maambukizi kwa kutumia hiyo mkakati wa Contain,.

Kisha wakahakikisha wanafanya testing nyingi kwa raia na kuhakikisha raia wengi wanapimwa na kufikia mwezi janaury kesi nyingi zilikwishapungua kwa kiasi kikubwa.

Kwa mfano kisiwani Hong Kong mgonjwa akigundulika anawekwa katantini na anafungwa electronic tag mguuni ambayo ipo GPS connected.

Akitoka tu nje askari anakuja mlangoni na kuuliza waenda wapi?

Hivyo kwa kiasi kikubwa Hong Kong waliweza kulishughulikia hili tatizo kwa aina yake ya usimamizi na mfumo wake wa afya.

Hivyo tunatofautiana kwenye mifumo ya afya, teknolojia na maabara pamoja na vifaa vya kupimia.

Nchi kama UK upimaji umezorota kutokana na sababu zingine za logistics ambapo baadhi ya vipimo ni vya kuagiza kutoka China ambayo nayo imefanya lockdown hata kwenye viwanda na mabohari.

Hivyo masuala kama haya yanahitaji uelewa kidogo kabla ya kuyarukia na kutaka kuyatumia kisiasa.
 
Uko sahihi kabisa ila kwenye sualal la kuamini zipi ni taarifa sahihi bado hizi nchi nilizozitaja hapo juu, yaani Taiwan, Singapore, Korea Kusini na zingine nazo mifumo yao ya Afya imejaribu sana kupunguza kasi ya maambukizi kwa kutumia hiyo mkakati wa Contain,.

Kisha wakahakikisha wanafanya testing nyingi kwa raia na kuhakikisha raia wengi wanapimwa na kufikia mwezi janaury kesi nyingi zilikwishapungua kwa kiasi kikubwa.

Kwa mfano kisiwani Hong Kong mgonjwa akigundulika anawekwa katantini na anafungwa electronic tag mguuni ambayo ipo GPS connected.

Akitoka tu nje askari anakuja mlangoni na kuuliza waenda wapi?

Hivyo kwa kiasi kikubwa Hong Kong waliweza kulishughulikia hili tatizo kwa aina yake ya usimamizi na mfumo wake wa afya.

Hivyo tunatofautiana kwenye mifumo ya afya, teknolojia na maabara pamoja na vifaa vya kupimia.

Nchi kama UK upimaji umezorota kutokana na sababu zingine za logistics ambapo baadhi ya vipimo ni vya kuagiza kutoka China ambayo nayo imefanya lockdown hata kwenye viwanda na mabohari.

Hivyo masuala kama haya yanahitaji uelewa kidogo kabla ya kuyarukia na kutaka kuyatumia kisiasa.
Factors kama culture, society attitude, level of education, compliance ya wananchi, trust ya taasisi zao etc nazo zinachangia kwenye kuamua.

Nchi kama S.K na Japan ni very educated societies kushinda nchi nyingi za EU in terms population ratios na ni watiifu zaidi kiutamaduni kushinda EU kwa ivyo some leniency in lockdown measures put in places are likely because of suitability to their culture.

Uwezi kurudia kitu hiko hiko kwa nchi zetu ambazo mkuu wa nchi akipata nafasi ya ulinzi mdogo ndio anaona kama kapewa fursa ya kujumuika na wananchi wake tena kwa kujiachia anafanya na kuita kabisa na wapita njia we mzee njoo unywe kahawa.

Hao wananchi ndio kabisa kama unapitia comments za kwenye social media kuna mmoja nimesoma akijibu ushauri wa social distancing anadai yeye na wenzake walienda kula bata kama kawa wknd iliyopita tena anadai wali enjoy humo ndani shurti kukombatiana na mabinti halafu anamwambia huyo anaewapa ushauri asiogope sana kila mtu alitakiwa kunawa mikono na sabuni kabla ya kuingia club.

Pamoja na jitihada zote za elimu ya awali hawa kweli wakuwaachia kama South Korea kuranda ovyo?
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom