Alivyo sungura mjanja akitoka hapo atakuja na self defence tactic (scare tactic) kwa kupiga picha na viongozi wa juu nchi za mabeberu kuonyesha wanatambua umuhimu wake kama sehemu ya demokrasia.
Hila something tells me behind Zitto that there are clever and powerful people home and abroad handling him kumdhuru huyu mtu kutakuwa na consequnces za kitaifa.
Kumdhuru nani ndio una approve mkuu ambako hakutakuwa na consequences za kitaifa?