Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,361
- 17,909
Hilo siyo jibu sahihi. Taja kifungu cha sheria kinachozuia, usilete fıkra zako za kubuniIssue iko kwenye idea aliyopeleka WB, ilikuwa ni ya kwake binafsi na si ya Bunge. Issue za namna hii huwa zina liabilities zake na credits pia, kwamba ukiandika kitu kikaja kuwa positive, unapewa credits bila kuulizwa maswali lakini kikiwa negative, lazima uulizwe maswali kwamba wewe nani alikuruhusu kuandika barua kwa kutumia letterhead yetu, waktai wazo lilikuwa ni la kwako binafsi?