Zitto: Sio kosa kuiandikia barua Benki ya Dunia isiipe mkopo Tanzania

Issue iko kwenye idea aliyopeleka WB, ilikuwa ni ya kwake binafsi na si ya Bunge. Issue za namna hii huwa zina liabilities zake na credits pia, kwamba ukiandika kitu kikaja kuwa positive, unapewa credits bila kuulizwa maswali lakini kikiwa negative, lazima uulizwe maswali kwamba wewe nani alikuruhusu kuandika barua kwa kutumia letterhead yetu, waktai wazo lilikuwa ni la kwako binafsi?
Hilo siyo jibu sahihi. Taja kifungu cha sheria kinachozuia, usilete fıkra zako za kubuni
 
Hilo siyo jibu sahihi. Taja kifungu cha sheria kinachozuia, usilete fıkra zako za kubuni
Mtu kwa mfano kutokujua sheria, haihalalishi mtu huyo kutokuwa na hatia, tuseme kama imetokea amefanya jinai. Vivyo hivyo mimi vilevile kutokujua namba ya kifungu cha sheria kilichovunjwa, na ukizingatia kuwa mimi siyo mwanasheria, hakumaanishi kuwa hakuna kosa lililofanyika! Na ikitokea kweli akapelekwa mahakamani, hataachiwa kwa sababu eti Makanyaga au wewe unayeuliza namba ya kifungu, hatujui namba ya kifungu hicho kilichovunjwa. Kwa sababu ya namna hii hawezi kuachiwa huru, atachiwa huru kwa sababu zingine!

Hivi kwa mfano, wewe akija mtu nyumbani kwako halafu tuseme akakutukana na bahati mbaya ukawa hujui kosa la kutukana liko kwenye kifungu namba ngapi cha sheria, utasema kuwa huyo mtu hajakutendea kosa, kisa tu hujui kifungu cha sheria alichovunja? Humu JF kwa kweli siku hizi kuna vioja vingi sana!
 
Hivi wewe, kwa mfano tuseme ni VC wa IFM, halafu una cheo kingine huko nje, ni Mkurugenzi wa Kampuni yako tuseme iko Kawe. Tuseme pia Benki WM walikukopesha mkopo wanataka uji-commit kwa maandishi kuwa deni lako utamaliza lini kulilipa. Je, hawa Benki utawaandikia barua kwa kutumia headed paper ya IFM na kuisaini kama VC wa IFM au utawaandikia barua kwa headed paper ya Kampuni yako na kuisaini kama Mkurugenzi wa Kampuni hiyo?
Jaribu kutafuta mfano hai hapa unajaribu kulazimisha vitu viendane wkt ni inshu mbili tofauti, zitto haombi mkopo angekuwa anaomba mkopo binafsi huu mfano ungefiti hapa
 
Bunge la Jamhuri yetu sio Photocopy ya Mabunge ya Mashoga

Zitto anastahili kufungiwa Bunge lijalo 2020~2025 kuonesha Msimamo thabiti dhidi ya Jaribio la Uhain


Kuzuia Fedha kusaidia Taifa lako ni Uhaini dhidi ya Taifa na Serikali

Viva JPM viva Baba lao, Aluta continua

Acha kudhalilisha Muhimili kwa kufananisha na Mabunge ya Kikamerun kameruni

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maneno yako yasivyokuwa na busara nadhani na wewe utakuwa mmoja wa mashoga
 
Mara ngapi tunaona masenata au representative wa Marekani wanatumia headed letter za mabunge yao. Waache ushamba
Dah!!

Katiba yetu kama sheria mama na sheria,kanuni na taratibu nyingine zinafanana na za Marekani mkuu?
 
Zitto kuandika barua Benki ya Dunia siyo kosa ndiyo, ila kosa ni kutumia nembo ya Bunge kuiandikia Benki ya Dunia, na kusaini barua kama Mbunge wa JMT, wakati Bunge halikuwa na taarifa rasmi kuhusiana na barua yake hiyo.

Zitto alitakiwa aandike barua hiyo kama Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, na aisaini kama kiongozi wa ACT na si kama Mbunge. Au angeiandika kama mtu asiyekuwa na cheo kama mimi hapa, yaani kama raia tu mkereketwa na angeisaini kwa kutumia hadhi hiyo.
Sasa yeye analiumia Bunge la JMT kuipiga Nchi halafu bado kosa anakuwa halioni?

Ninasikitika kwamba kosa hili liko wazi na kwamba hakutakiwa kuwa angekuwa hajaliona mpaka leo, intelligent as he is!


================================

Dar es Salaam. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema haoni kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali atamkuta na kosa kutokana na kuiandikia barua Benki ya Dunia (WB) akitaka isiidhinishe mkopo wa Sh1.2 trilioni kwa Tanzania kwa ajili ya sekta ya elimu.

Zitto ameeleza hayo leo Jumanne Februari 18, 2020 katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu ya kutetea nafasi yake katika uchaguzi wa chama hicho.

Katika mkutano wa 18 wa Bunge uliomalizika hivi karibuni mjini Dodoma, Zitto alishukiwa na wabunge kwa kitendo chake hicho huku Spika Job Ndugai akisema watamsubiri arejee nchini ili wamuulize sababu za kufanya hivyo, hapohapo akamtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuangalia kama kuna uwezekano wa kuwemo jinai katika kitendo hicho.

Katika mkutano wake huo Zitto amesema, “sioni kosa lolote ambalo Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza akalikuta kwamba nimelifanya kwa kuandika barua WB. Hizi ni siasa tu ambazo zilikuwa hazifanyiki huko nyuma, au watu walikuwa wanafanya kwa kificho sasa mimi nimezifanya kwa uwazi ndio tofauti tu hiyo, haina maana kuwa ni kitu kipya sana”

Amesema kila Mtanzania ana haki ya kuwasiliana na Benki ya Dunia iwapo Serikali yake kuna mambo imekosea katika maombi ya fedha katika benki hiyo.


Chanzo: Mwananchi

Akisafili anatumia passport ipi? kama mbunge au kiongozi ACT???? mbili yake mbona Jiwe uwili huu hana au nchi hii ni double standard. wajibu hoja ya barua waachane na nani kaandika.
 
Mtu kwa mfano kutokujua sheria, haihalalishi mtu huyo kutokuwa na hatia, tuseme kama imetokea amefanya jinai. Vivyo hivyo mimi vilevile kutokujua namba ya kifungu cha sheria kilichovunjwa, na ukizingatia kuwa mimi siyo mwanasheria, hakumaanishi kuwa hakuna kosa lililofanyika! Na ikitokea kweli akapelekwa mahakamani, hataachiwa kwa sababu eti Makanyaga au wewe unayeuliza namba ya kifungu, hatujui namba ya kifungu hicho kilichovunjwa. Kwa sababu ya namna hii hawezi kuachiwa huru, atachiwa huru kwa sababu zingine!

Hivi kwa mfano, wewe akija mtu nyumbani kwako halafu tuseme akakutukana na bahati mbaya ukawa hujui kosa la kutukana liko kwenye kifungu namba ngapi cha sheria, utasema kuwa huyo mtu hajakutendea kosa, kisa tu hujui kifungu cha sheria alichovunja? Humu JF kwa kweli siku hizi kuna vioja vingi sana!
Acha kuandika mambo ya kufikirika, Mahakama huhukumu watu kwa vitu viwili; (1) Sheria (2) Ushahidi

Kama huwezi kuweka kifungu hizo ni bla bla, kaa usome ujifunze mambo ya wataalamu
 
Maadam hamjaomba original letter kutoka WB aliyoandika Zitto basi kelele zenu kwamba katumia letter head ya Bunge ni kelele za chura hazimpati mwewe.

Kisheria unapotuhumu kitu ndani ya barua unawajibika kuwa na original copy. Hivyo, mkitaka na mkaweza ombeni WB muwaambie mnataka kuitumia kumnyoosha Zitto kisha wawape mumnyooshe.

Vinginevyo, acheni umbumbumbu kwa mambo msiyoyajua waziwazi.



Hivi wewe, kwa mfano tuseme ni VC wa IFM, halafu una cheo kingine huko nje, ni Mkurugenzi wa Kampuni yako tuseme iko Kawe. Tuseme pia Benki WM walikukopesha mkopo wanataka uji-commit kwa maandishi kuwa deni lako utamaliza lini kulilipa. Je, hawa Benki utawaandikia barua kwa kutumia headed paper ya IFM na kuisaini kama VC wa IFM au utawaandikia barua kwa headed paper ya Kampuni yako na kuisaini kama Mkurugenzi wa Kampuni hiyo?
Issue iko kwenye idea aliyopeleka WB, ilikuwa ni ya kwake binafsi na si ya Bunge. Issue za namna hii huwa zina liabilities zake na credits pia, kwamba ukiandika kitu kikaja kuwa positive, unapewa credits bila kuulizwa maswali lakini kikiwa negative, lazima uulizwe maswali kwamba wewe nani alikuruhusu kuandika barua kwa kutumia letterhead yetu, waktai wazo lilikuwa ni la kwako binafsi?
 
Acha kuandika mambo ya kufikirika, Mahakama huhukumu watu kwa vitu viwili; (1) Sheria (2) Ushahidi

Kama huwezi kuweka kifungu hizo ni bla bla, kaa usome ujifunze mambo ya wataalamu
Mimi kwa kweli, kabisa kifungu sikijui ila wanasheria wanakijua. Ninachojua mimi ni kuwa kuna jinai imefanyika, hilo tu basi. Naamini hata Mh. Spika kifungu anakijua, isipokuwa hakutaka tu kuingilia kazi za mhimili mwingine.
 
Zitto kuandika barua Benki ya Dunia siyo kosa ndiyo, ila kosa ni kutumia nembo ya Bunge kuiandikia Benki ya Dunia, na kusaini barua kama Mbunge wa JMT, wakati Bunge halikuwa na taarifa rasmi kuhusiana na barua yake hiyo.

Zitto alitakiwa aandike barua hiyo kama Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, na aisaini kama kiongozi wa ACT na si kama Mbunge. Au angeiandika kama mtu asiyekuwa na cheo kama mimi hapa, yaani kama raia tu mkereketwa na angeisaini kwa kutumia hadhi hiyo.
Sasa yeye analiumia Bunge la JMT kuipiga Nchi halafu bado kosa anakuwa halioni?

Ninasikitika kwamba kosa hili liko wazi na kwamba hakutakiwa kuwa angekuwa hajaliona mpaka leo, intelligent as he is!


================================

Dar es Salaam. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema haoni kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali atamkuta na kosa kutokana na kuiandikia barua Benki ya Dunia (WB) akitaka isiidhinishe mkopo wa Sh1.2 trilioni kwa Tanzania kwa ajili ya sekta ya elimu.

Zitto ameeleza hayo leo Jumanne Februari 18, 2020 katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu ya kutetea nafasi yake katika uchaguzi wa chama hicho.

Katika mkutano wa 18 wa Bunge uliomalizika hivi karibuni mjini Dodoma, Zitto alishukiwa na wabunge kwa kitendo chake hicho huku Spika Job Ndugai akisema watamsubiri arejee nchini ili wamuulize sababu za kufanya hivyo, hapohapo akamtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuangalia kama kuna uwezekano wa kuwemo jinai katika kitendo hicho.

Katika mkutano wake huo Zitto amesema, “sioni kosa lolote ambalo Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza akalikuta kwamba nimelifanya kwa kuandika barua WB. Hizi ni siasa tu ambazo zilikuwa hazifanyiki huko nyuma, au watu walikuwa wanafanya kwa kificho sasa mimi nimezifanya kwa uwazi ndio tofauti tu hiyo, haina maana kuwa ni kitu kipya sana”

Amesema kila Mtanzania ana haki ya kuwasiliana na Benki ya Dunia iwapo Serikali yake kuna mambo imekosea katika maombi ya fedha katika benki hiyo.


Chanzo: Mwananchi
Hivi hadi sasa hamjamuelewa mheshimiwa Zitto????
Yeye anatafuta political milage kwani huu ni mwaka wa uchaguzi. Atajaribu kufanya uvunjifu wa sheria ili aonekana kuwa anaonewa.
Nadhani serikali ya JPM inafanya jambo la busara kwa kum-ignore na hiki ndicho kinachomkera sana mheshimiwa huyo.
 
Mimi kwa kweli, kabisa kifungu sikijui ila wanasheria wanakijua. Ninachojua mimi ni kuwa kuna jinai imefanyika, hilo tu basi. Naamini hata Mh. Spika kifungu anakijua, isipokuwa hakutaka tu kuingilia kazi za mhimili mwingine.
Shut your big mouth then if you are ignorant. Usimsemee Spika, na wala usikomaze mishipa ya shingo kwa vitu usivyovijua
 
Shut your big mouth then if you are ignorant. Usimsemee Spika, na wala usikomaze mishima ya shingo kwa vitu usivyovijua
Samahani. Kifungu hicho hakipo, na wala hakuna mtu anayekijua. Hata wana Sheria naamini hawakijui kwa sababu hakipo. Sawa?
 
Zitto kuandika barua Benki ya Dunia siyo kosa ndiyo, ila kosa ni kutumia nembo ya Bunge kuiandikia Benki ya Dunia, na kusaini barua kama Mbunge wa JMT, wakati Bunge halikuwa na taarifa rasmi kuhusiana na barua yake hiyo.

Zitto alitakiwa aandike barua hiyo kama Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, na aisaini kama kiongozi wa ACT na si kama Mbunge. Au angeiandika kama mtu asiyekuwa na cheo kama mimi hapa, yaani kama raia tu mkereketwa na angeisaini kwa kutumia hadhi hiyo.
Sasa yeye analiumia Bunge la JMT kuipiga Nchi halafu bado kosa anakuwa halioni?

Ninasikitika kwamba kosa hili liko wazi na kwamba hakutakiwa kuwa angekuwa hajaliona mpaka leo, intelligent as he is!


================================

Dar es Salaam. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema haoni kama Mwanasheria Mkuu wa Serikali atamkuta na kosa kutokana na kuiandikia barua Benki ya Dunia (WB) akitaka isiidhinishe mkopo wa Sh1.2 trilioni kwa Tanzania kwa ajili ya sekta ya elimu.

Zitto ameeleza hayo leo Jumanne Februari 18, 2020 katika mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu ya kutetea nafasi yake katika uchaguzi wa chama hicho.

Katika mkutano wa 18 wa Bunge uliomalizika hivi karibuni mjini Dodoma, Zitto alishukiwa na wabunge kwa kitendo chake hicho huku Spika Job Ndugai akisema watamsubiri arejee nchini ili wamuulize sababu za kufanya hivyo, hapohapo akamtaka Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuangalia kama kuna uwezekano wa kuwemo jinai katika kitendo hicho.

Katika mkutano wake huo Zitto amesema, “sioni kosa lolote ambalo Mwanasheria Mkuu wa Serikali anaweza akalikuta kwamba nimelifanya kwa kuandika barua WB. Hizi ni siasa tu ambazo zilikuwa hazifanyiki huko nyuma, au watu walikuwa wanafanya kwa kificho sasa mimi nimezifanya kwa uwazi ndio tofauti tu hiyo, haina maana kuwa ni kitu kipya sana”

Amesema kila Mtanzania ana haki ya kuwasiliana na Benki ya Dunia iwapo Serikali yake kuna mambo imekosea katika maombi ya fedha katika benki hiyo.


Chanzo: Mwananchi
WB nao waunganishwe kwenye mashtaka ya zzk kwa kushirikiana na mhalifu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom