Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 7,806
- 10,771
Unajichanganya ulikuwa mfumo wa chama kimoja na ujamaa na kujitegemea ,saizi Ni mfumo wa vyama vingi na ubeberu , democracy.Hivi Mwenyekiti wa kwanza wa TANU alikaa muda gani madarakani?
Sent using Jamii Forums mobile app