Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanini uchaga unahusishwa sana na chadema ,naanza kupata waswas na chadema ila bado sijaamin mpka nifanye uchunguzi coz hapa jukwaan kuna kuchafuana mwenye ukweli atupatie je kuna ukweli kuhusu hili la ukabila chadema kwamba wachaga wana hasira na zitto
yaan cjui watu wanamatatizo gani,who is zitto by the way?kwan yy ni malaika hawez kukosea?km anaona anaonewa cdm asepe chama kingine bana
tatizo la zitto hapo ni nini? ....tuliopo dodoma tunafahamu kila kitu ...ni nani anasema Zitto hakutajwa? ...muulize msigwaZitto kama mwananchi imekunukuu sahihi basi umeshakwisha wewe ni mlafi wa madaraka na asilani usiye na shukrani na pia huna busara za kuwa rais haiwezekani ukatumia fallacy kubwa namna hiyo ya haste generalization eti wote wanaopinga wanaoutaka urais kutoka vyama vyote wewe kwa membe, prof lipumba, slaa, lowassa bado ni kinda kisiasa.
Hata jimbo lako linakushinda ndio useme kwamba wewe uko kwenye seat za mbele za urais acha utoto kuwa mtu mzima sasa. Ila kama mwananchi imekunukuu sahihi umekosa kura moja mwAndiga
eti wabunge wenye njaa ya posho
anazidi kuongeza maadui.....
Jiangalie wewe, usichefue watu kwa huu uzuzu wako. Wenzio mnaotumwa nao na magamba hawaharishi hivyo. Hata kama tunajua kuwa ili uweze kuitetea ccm na serikali yake ni sharit uwe zuzu, ila wako wewe umepitiliza. Tanzania ya leo hakuna asiyeijua kazi ya mnyikaKtika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile
anatumika na jk.Kwanini hili neno "Urais" limemkaa sana ZZK mdomoni mwake?!