SMH!! Hivi vyote ni visasi tu,we unafikiri oparesheni uwajibikaji ilifurahiwa na wote..Zitto can be many thing but "kuhongwa" this is totally ridiculous!!
Eyes on hands off..hiki ndicho Zitto anacho kipigania lakini itajafahamika tu!!Af mi nashangaa sana kwanini Zitto akisema ana uwezo wa kuwa rais watu wanachachawa...ye ka mtanzania mwingine yeyote ana haki hiyo!!
"Hakuna hata mbunge mmoja aliyesimama kusema nani amehongwa nini....
"Kwangu mimi naona hizi ni siasa za urais na hasira za posho. Wenye kutaka urais wa vyama vyote na wapambe wao, wameungana kunichafulia heshima yangu. Wabunge wenye njaa ya posho, wameungana kunikomoa. Ukweli una tabia ya kutopenda kupuuzwa. Mwalimu Nyerere (Julius) alisema katika andiko lake la 'Tujisahihishe'."
.
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile
Kwenye red: Naona kama kuna kujichanganya.
Hata hivyo binafsi siamini kama hizi tuhuma zina uhusiano wowote na mbio za urais wala posho. Nakataa kabisa hayo madai. Zitto wa 2007 ni tofauti sana na Zitto wa 2012. Kadri umaarufu wake wa siasa ulivyokuwa unaongezeka ndivyo hivyo hivyo wajanja walikuwa wanatumia mbinu kuwa karibu naye. Ama kwa kutojua au kwa kujiamini ni mjanja kwenye mahesabu ya siasa, Zitto anajikuta anakuwa karibu na makundi yenye kuzua maswali mengi. Amekuwa very devisive figure na kila anapokanyaga anaacha mtafaruku.
Na kwa sababu amekuwa na siasa za kimwenyewe-mwenyewe, sasa hivi anajikuta hana msingi imara wa kusimamia. Ukitizama comments nyingi hapa JF, anaongelewa yeye kama yeye bila kuhusishwa na chama. Kwangu mimi mtaji wake wa kisiasa (political capital) umelika sana. Sijui kama anaweza kukopa mahali. Na hapo tukumbuke pia madhara ya ule mpango wake wa kukusanya sign 70. Unaweza ukawa another problem. He totally humiliated PM.
Nilichogundua huyu bwana anaropoka tu bila kujua madhara ya maneno yanayotoka kwenye kinywa chake.eti wabunge wenye njaa ya posho
anazidi kuongeza maadui.....
Nilichogundua huyu bwana anaropoka tu bila kujua madhara ya maneno yanayotoka kwenye kinywa chake.
Kitendo cha kusema wabunge wenye njaa ya posho ina maana kawadharau na kuwatukana wabunge wote wa tanzania. kwa sababu ni yeye tu amabye hachukui posho.
Huyu ndio anasema anataka kuwa rais wa tanzania. labda rais wa kigoma nitamuelewa