Zitto: Sijahongwa, ni siasa za urais na hasira za posho!

Status
Not open for further replies.
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile

Kuwa na Akili yakuzaliwa.Kwahili ata grade 6 dro-pout student,can figure it out,Hataki posho kwakua anavyanzo vingine vya kujipatia fedha,,,mfano kama rushwa hivi. PROBLEM SOLVED
 
mi nataka muhongo awataje waliohongwa ili mbivu na mbichi zijulikane.
Tujue nani anasababisha mgao wa umeme.
 
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto
, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo,
wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli
, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile

Hivi ni mchaga gani au mwanachama gani wa CDM aliyemtuma Mhe Zitto kuingilia maamuzi ya Wizara kumtimua mkurugenzi wake mkuu? kwa kuwa tayari bunge lina Kamati yake kisekta ni nini kilimsukuma Zitto kujitokeza katia vyombo vya habari kumtetea Mhando. Wakati wote Zitto amekuwa mstari wa mbele kukosoa wengine mkuki kwa nguruwe sasa zamu yake kukosolewa anaanza kuleta ukabila. Kwanza nani anajihusisaha na mambo ya urais ilihali Raisi wa sasa yupo katikati ya kipindi chake? Hizi ni tamaa za madaraka.

Kwa kushabikia kauli za Mwigulu Nchemba ni dhahiri kuwa Zitto ndiye alikuwa akimutumia Mwigulu Nchemba kutamnka hayo aliyoyatamka.
Point hapa iliyo mezani ni nini kilimuskuma Zitto kumtetea Eng Mhando na si vinginevyo?

kwa muda mrefu watanzania wamekuwa wakiwaunga mkono watu wanaotetea maslahi ya taifa, kwa taarifa yenu ambaio hamfahamu Katibu Mkuu Maswi ni mmoja wa watu waliojihusssha na harakati za kuleta mabadiliko hapa nchini kupitia sehemu mbali mbali mika ya 90 ndipo akamua kuingia serikalini na mabadailiko anayopigania ya kuuweka ukweli na maslahi ya taifa mabele ndio haya matunda yake. Nchi ilikuwa imeshatekwa na magenge ya wanasiasa kama Zitto , Makamba na wengieneo kwa kutumia Kamati za Bunge kuingilia maamuzi ya Bunge leo mnaanza kuibua haoja za udini na ukabila ili kujilinda
 
Mwislamu yeyote Makini hawezi kuwaza Urais wa 2015 kwa system na utamaduni wa Tanzania. utaki unaacha.
Lowasa hii karata anaifahamu siku nyingi tu na atawaacha midomo wazi na hamtoamini macho wala masikio yenu. subilini tu only time will tell.
 
"Kwangu mi naona hizi ni siasa za urais na hasira za posho.wenye kutaka urais wa vyama vyote na wapambe wao,wameungana kunichafulia heshima yangu".
zzk hapa hoja nzito umejaribu kuijibu kwa hoja nyepesi na isiyo na mashiko ukilinganisha ww ni mwanasiasa na kiongozi mzoefu,pia umejaribu kujituhumu kabla ya kutuhumiwa ww binafsi,nadhan picha ndo kama imeanza ngoja tusubili ukweli daima utadhiirika.
 
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile

mamluki @work
 
amemsomesha uyo bwana ambea huwa ana mwandkaga...

hapana, nimelifuatilia gazeti la mwananchi kwa muda mrefu na anayempamba zitto si mwandishi mmoja! ni waandishi wote wa mwananchi that's why nilisema zitto ni kama mmiliki wa gazeti... maana kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mmiliki atakubali gazeti lake litumiwe namna ile.. hidden agenda?! sijui
 
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile

"ZITTO NA ID MPYA JAMIIFORUM SPECIAL KWA AJILI YA KUJISAFISHA NA KUKITUKANA CHAMA NA VIONGOZI WAKE MAKINI NA WANAOKIBEBA CHAMA KWA SASA,MNYIKA NA KINA SELASINI, HUYU JAMAA NI MNAFIKI NA MBAYA SANA ILA KINACHOFURAHISHA WATANZANIA WANAENDELEA KUMJUA VIZURI KADRI SIKU ZINAVYOENDA,uwezo wake ni kuwa rais wa wasanii wa leke tutigite!!shame"
 
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile

upuuzi mtupu..guided by narrow thinking.jielekeze kwenye hoja
 
Hakuna hoja yenye mashiko hapo,Zitto umejimaliza mwenyewe na mbio zako za sakafuni,jitathmini wewe mwenyewe kabla yake kuwasonda vidole wengine,wanasiasa vijana mnalewa sana sifa jiangalieni na kati yenu hakuna wa kumpa nchi wote wahuni tu.

hata MNYIKA acha masihara
 
hapana, nimelifuatilia gazeti la mwananchi kwa muda mrefu na anayempamba zitto si mwandishi mmoja! ni waandishi wote wa mwananchi that's why nilisema zitto ni kama mmiliki wa gazeti... maana kwa akili ya kawaida sidhani kama kuna mmiliki atakubali gazeti lake litumiwe namna ile.. hidden agenda?! sijui
Kibaraka wa Zitto kwenye Gazeti la Mwananchi ni Ramadhani Semtawa, nadhani manegement ya Mwananchi hawajamstukia huyu Mwandishi, nafanya mpango wa kumuona Tido Mhando ili huyu Mwandishi achunguzwe maana anaaribu reputation ya Mwananchi.
 
Hili suala la Zito c la ukabila,mnaomtetea zito mlitaka bilioni 6 zipotee kwa msimamo wake kila mwezi?na hapo ndio maswali yanaanzia,lazima atakuwa na maslahi achunguzwe tu.
 
Zitto
Naye Mwenyekiti wa Kamati ya Mashirika ya Umma ambayo imeunganishwa kwenye tuhuma hizo, Zitto Kabwe, alisema tuhuma hizo anazisikia, lakini anaziona kama siasa za majitaka kwa sababu zinarushwa bila ushahidi wowote.

"Hakuna hata mbunge mmoja aliyesimama kusema nani amehongwa nini. Mimi binafsi sijahongwa na mtu yeyote wala mimi sijamtetea mtu isipokuwa natetea taratibu kufuatwa," alisema.

Zitto alibainisha kuwa anaamini tuhuma hizo zimetokana na hasira za yeye kupinga posho za wabunge na sasa wameona hilo ndilo eneo la kumkomoa.

"Kwa kuwa ‘my conscious is clear’, (dhamira yangu safi) sina mashaka, uzushi, uongo na siasa za majitaka hizi zitaumbuliwa na ukweli. Hata hivyo, kwa kuwa tuhuma hizo zinasemwa juu juu tu, tutataka vyombo vya dola vichunguze na ikithibitika hatua zichukuliwe," alisema na kuongeza:

"Kwangu mimi naona hizi ni siasa za urais na hasira za posho. Wenye kutaka urais wa vyama vyote na wapambe wao, wameungana kunichafulia heshima yangu. Wabunge wenye njaa ya posho, wameungana kunikomoa. Ukweli una tabia ya kutopenda kupuuzwa. Mwalimu Nyerere (Julius) alisema katika andiko lake la 'Tujisahihishe'.”

Mbunge huyo wa Kigoma Kaskazini(Chadema) alishauri pia Spika wa Bunge kutumia Kamati ya Maadili kuchunguza tuhuma hizo kwa kuwa hazipaswi kuachwa zikapita hivihivi.


Source: Mwananchi Jumapili.

conscience-dhamira. Conscious-ufahamu.
 
Ktika hali isiyokuwa ya kawaida wachaga waliop chadema wameungana na wabunge wapenda posho wa ccm ili kumuadabisha Mh zuberi zitto, yote hayao yametokana na mambo makuu mawili
1.Zitto kukataa posho na kuendelea kutozichukua mpka leo, wahafdhina ndani ya chadema wameona wanaaibika hasa baada ya mbungewa iramba mwigulu kuwachana ukweli, kma hiyo hitoshi wabunge wengi wa chadema ambao ni wa kaskazini waliingia kwenye chama na lengo lake likiwa ni kupata pesa , walitumia mbinu nyingi sana kumharibia zitto reputation yake ndani ya jamii na nje ya siasa ili aonekane yeye amehongwa au alikuwa na ubia na mhando wa tanesco
2.Kitendo cha zitto kutangaza kugombea urais 2015 kiliwastua sana wachaga kiasi cha kutengengeneza mkakati wa kummaliza kwenye medani za siasa kwa kushirikiana na ccm, ikumbukwe kwenye maswala ya ukabila wachaga huweka nje itikadi zao, na hiyo kazi alipewa selasin amabaye uhusiano wake na wachaga wenzio haupo na alizungumza vitu vingi sana
Kama CHADEMA wataendelea na huu ujinga 2015 chma hakifiki na hata kikifika ccm wameshajuwa mahali pa kuwamamlizia ni juu ya urais na posho pekee yake
Mnyika amabye yeye daiama ni mnafiki huwa anazungumzia hilo chini ya meza na maelezo yake niliyoyapata kwa njia ya kiintelejensia nitayaweka very soon baada ya secretary wangu kumalaiza kuyatype
Kafulila alisema CHADEMA ni ya wachaga na wewe ukijifanya ni yako wako tayari kukuharibia kwa gharama yoyote ile
Naamini kama umepitia michango mbalimbali humu utakuwa umeshagundua ya kuwa hoja yako haina mashiko.
Maswali kwa Zitto ni mengi kuliko majibu na inaelekea ameingia mahali ambapo sipo.
Watu wamelalamika sana kuwa hawamuelewi Zito msimamo wake na vitendo vya kupingana na wenzie katika chama vilishafanya watu wakamtilia mashaka.
Gazeti la Mwanahalisi lilitoa saa na tarehe ambapo Yito aliwasiliana na Nzoka wakati wa kuanza kampeni za Urais lakini mpaka leo hajatueleza kuwa alikuwa anazungumza nini na Nzoka huyu ambaye leo anahusishwa na matendo maovu.
Zitto atulie na afanye uamuzi lakini asikiyumbishe Chama ambacho wananch wengi wameanza kuonyesha matumaini nacho.
 
Status
Not open for further replies.
14 Reactions
Reply
Back
Top Bottom