Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Alikuwa anawasema wenzake sasa yako wapi, ubabe bila utalaamu
Zamani kiongozi akichemsha alilazimishwa kujiuzulu chama kilikua na nguvu.sasa wanaona udhaifu wake ndo wanazidi kumsifia aharibu zaidiMzee anazidi kuvimba KOMWE tu lakini akili hamna kichwani kila siku anachojua yeye ni kutoa matamko tu kwa wananchi ili aogopwe......
Unautani na baajesca kiongoziPia ndani ya miaka 2 mzee baba.mzee wa hiyo mipango mibovu ya kibabe naona amezeeka kwa kasi ya ajabu na akiendelea hivi akifika kwenye kampeni akiweza kupiga pushup 5 haki ya nani nahamia ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utani.Ile ndege ni mbovu jamaa wameagiza engine engine hahahaha
Aastaghafirullah!Ile ndege ni mbovu jamaa wameagiza engine engine hahahaha
Ha haaa,aisee nilimuona juzi kwny msiba wa Ruge anatembea kama anasukumwa halafu uso umefubaa,nywele sijui zimenyonyoka yani utadhani mwanakijiji wa Sitimbi nikajisemea Chinekeeeh! Hizi kazi za kusukumizwa hizi!Pia ndani ya miaka 2 mzee baba.mzee wa hiyo mipango mibovu ya kibabe naona amezeeka kwa kasi ya ajabu na akiendelea hivi akifika kwenye kampeni akiweza kupiga pushup 5 haki ya nani nahamia ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda donor wa damu!alitukana mamba kabla hajavuka mto.
eti tutakuwa donor country huyuu jamaa nadhani akili zake zinamtosha yeye peke yake.