Anaendesha jenerali kama kawa.
Kuna mchangiaji dr anasema hakuna mfumo wa kuwajibishana mfano waziri mkuu hana mamlaka ya kuwawajibisha mawaziri walio chini yake
Zitto:
tuwe na mfumo wa mawaziri kuwawajibisha makatibu wakuu wa wizara.
Zitto:
tuwe na mfumo wa mawaziri kuwawajibisha makatibu wakuu wa wizara.
Zitto:
tukimpata waziri mkuu mwenye uthubutu wa kuthibiti utekelezaji, mweye maamuzi tusingekuwa na shida
waziri Mkuu awe nani? kumpata iwe hatua inayofuata...tatizo watu wanazungumzia uwajibikaji bila ya wao kuwa na dhamira ya wazi....wanajulikana kwa matendo yao na tabia zao
filikunjombe amemalizia kwa kuomba tuwaombee kwa Mungu kwani wana changamoto za kutosha!
hapo mkuu hamna uchadema na uccm.we vp mbona unakuwa kma sio great thinker.wanaongelea mambo kwa ujumlaZitto anamwaga mipointi ya kufa mtu.....Chadema wapo makini sana......
Serukamba:
''naamini ndani ya miaka mitatu ripoti ya CAG itakuwa nzuri''. Huyu jamaa wa ajabu kweli kwani ni ripoti ya CAG ni mbaya au matumizi ya baadhi ya idara ndiyo mbaya?
Huyu Serukamba uso wake unaonyesha kama vile ni mfanyabiashara wa viungo vya walemavu wa ngozi! Roho yangu inanituma niamini kuwa zile tuhuma zaweza kuwa kweli!