Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,594
- 5,568
Ni kweli, MAREKAni aliukimbia mradi wa TAZARA akisema hauwezekani,akakimbilia barabara ya Mbeya-Moro,then Mchina akasema its possible akaanza project ileMturuki hana hela kwasasa,ana commitment nyingi mno kugharamia vita kule syria,na uchumi wake siyo mkubwa kivile,
sidhani kama watatoa mkopo wa kandarasi kubwa kama ile,
miradi mikubwa kama hiyo hata wamarekani huwa wanaikimbia kukwepa gharama,