Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,702
- 71,013
Acha ujinga, uko mahali pa kuweza kuisemea serikali kuwa wamekopa au hapana. Na kama wamekopa nini faida yake dhidi ya tuhuma za Zitto.Ndio maana upinzani umekufa hakuna hoja
Sasa nawe ukija na kauli kama za kina jingalao au Laki Si Pesa unashangaza sana. Au nyie ndio wale wa kupepea bendera tuu?