Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Watanzania tulisubiri kufikishwa hapa,mwezi wa kwanza nilipata kusoma gazeti moja likinukuu chanzo k1 kikieleza kwamba kuna wizara moja ilikuwa imebakiwa na 800m ikiwa ni pesa ya kuhudumia wizara toka chini-juu ktk shughuri zote mpaka juni,nilshangaa kama hyo ni wizara ama ni idara1
tusisahau ripoti ya TRA iliyoonyesha kupungua kwa makadirio ya mapato mwezi wa3,lakini pia Mkullo alisema machi kwamba kuanzia April uchumi utashuka sana hadi mwisho wa mwaka,sasa hapa hujaweka 96b tunazotakiwa kuwapa wahuni wa Rchmonduli,
hii imechagizwa na mgao wa umeme,lakn bado jana umetangazwa mgao mwingne funga kazi wa masaa16 kwa siku,hapa ndugu zangu mbali ya kutokuongezwa mishahara,tusitarajie kutimizwa kwa ahadi hata 0.5 yake.
nadhani hapa tulipo siyo tena serikali na chama chake wenye kuweza kuretreat hali hii,labda nguvu ya umma ikiongozwa na CDM walitoe hapa taifa hili kwa maana JK amekwama kwenye matope mazito ni lazma apigwe push ama ajiuzulu,
na kwa hali hii mishahara itaongezwa kweli? je serikali inao uwezo tena wa kuajiri wafanyakazi wapya na kutoa ajira kama mwajiri mkuu??na vipi vijana wapya wanaotegemea kuanza vyuo sept wataweza kupewa mikopo wote...tukubali tukatae huu mwaka JK atatubu kuiba haki za wapiga kura wa Dr.Slaa..hapo bado ishu ya katiba na muungano,tusubili tuone
tusisahau ripoti ya TRA iliyoonyesha kupungua kwa makadirio ya mapato mwezi wa3,lakini pia Mkullo alisema machi kwamba kuanzia April uchumi utashuka sana hadi mwisho wa mwaka,sasa hapa hujaweka 96b tunazotakiwa kuwapa wahuni wa Rchmonduli,
hii imechagizwa na mgao wa umeme,lakn bado jana umetangazwa mgao mwingne funga kazi wa masaa16 kwa siku,hapa ndugu zangu mbali ya kutokuongezwa mishahara,tusitarajie kutimizwa kwa ahadi hata 0.5 yake.
nadhani hapa tulipo siyo tena serikali na chama chake wenye kuweza kuretreat hali hii,labda nguvu ya umma ikiongozwa na CDM walitoe hapa taifa hili kwa maana JK amekwama kwenye matope mazito ni lazma apigwe push ama ajiuzulu,
na kwa hali hii mishahara itaongezwa kweli? je serikali inao uwezo tena wa kuajiri wafanyakazi wapya na kutoa ajira kama mwajiri mkuu??na vipi vijana wapya wanaotegemea kuanza vyuo sept wataweza kupewa mikopo wote...tukubali tukatae huu mwaka JK atatubu kuiba haki za wapiga kura wa Dr.Slaa..hapo bado ishu ya katiba na muungano,tusubili tuone