Zitto: Serikali haioni aibu kudanganya umma kuwa mpaka sasa bajeti ya afya imetolewa 31% na imevunja rekodi?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Kamati yetu ya Bunge inaendelea na vikao Dodoma. Wiki hii tunapokea na kujadili Taarifa za Wizara ya Afya. Bado nchi Ina changamoto sana. Bajeti ya dawa Mwaka 2017/18 ilikuwa TZS 257 bilioni Lakini Serikali ilitoa TZS 80 bilioni tu Sawa na 31% ya Bajet

Kila siku viongozi wa Serikali wanatuambia kuwa Bajeti ya Afya imepanda sana ili kununua madawa na vifaa tiba. Kumbe si kweli. Msemaji Mkuu wa Tanzania umekuwa ukitueleza haya kwenye taarifa zako, hamwoni aibu kuwa awamu iliyopita ilikuwa inatoa 83% ya Bajeti ya Dawa, awamu hii mnatoa 31%!

Zitto.PNG
 
Nadhan kuna haja sasa yaMawaziri au wabunge was CCM kuja na tweets za kukosoa, kusahihisha au kupinga hoja za awa wapinzani.

Maana inafikia mahali zikiachwa vivihivi Raia wanazimeza kama zilivyo.Then what comes next.........!

Ndimi mfurukutwa.
Wathubutu waone mtiti wa kuchokoza nyuki kwenye mzinga. Watapigwa za uso mpaka watasign out kwenye hiyo mitandao. Watu wanaongea kwa facts na sio mihemko ya Ndugai.
 
Bwana Mheshimiwa sana hivi huchoki? hivi kuna ubaya gani kama kwenye quarter ya kwanza kutolewa 33% ya bajeti wakati hata nusu mwaka bado???????
Wasiwasi wangu ni kuwa unaweza kupauka na tukakosa madini toka kwako
mazwazwa kweli kusoma hamjui hata kuangalia namba napo huwezi?..........

mwaka wa fedha 2017/2018 bado hata nusu haijaisha???.........

ndugu, kwa msaada tu huu tuliopo ni mwaka wa fedha 2018/2019.........


ficheni ujinga wenu basi jamani!!!!
 
Nadhan kuna haja sasa yaMawaziri au wabunge was CCM kuja na tweets za kukosoa, kusahihisha au kupinga hoja za awa wapinzani.

Maana inafikia mahali zikiachwa vivihivi Raia wanazimeza kama zilivyo.Then what comes next.........!

Ndimi mfurukutwa.

Taken
 
Bwana Mheshimiwa sana hivi huchoki? hivi kuna ubaya gani kama kwenye quarter ya kwanza kutolewa 33% ya bajeti wakati hata nusu mwaka bado???????
Wasiwasi wangu ni kuwa unaweza kupauka na tukakosa madini toka kwako
iliyopita unakumbuka ilitekelezwa kwa % ngapi ?
 
Nadhan kuna haja sasa yaMawaziri au wabunge was CCM kuja na tweets za kukosoa, kusahihisha au kupinga hoja za awa wapinzani.

Maana inafikia mahali zikiachwa vivihivi Raia wanazimeza kama zilivyo.Then what comes next.........!

Ndimi mfurukutwa.
Hata Ma DAS na Ma DED waje tu .
 
Back
Top Bottom