George Smiley
JF-Expert Member
- Oct 24, 2011
- 471
- 266
well alisema kuwa atawataja walioficha pesa huko nje sasa kikowapi?
aliyejidhalilisha ni yeye,
Perhaps angefocus on tax avasion inayoendelea TRA na sio kutufanya sote wajinga na watoto kwa kutoa empty statements ndani ya bunge huku akijua wazi kuwa he cant back them up
aliyejidhalilisha ni yeye,
Perhaps angefocus on tax avasion inayoendelea TRA na sio kutufanya sote wajinga na watoto kwa kutoa empty statements ndani ya bunge huku akijua wazi kuwa he cant back them up